autorun255 JF-Expert Member Joined Sep 8, 2013 Posts 1,105 Reaction score 364 Feb 21, 2014 #1 >Vioo vya kuzuia risasi( bullet proof glasses ) > Mbwa askari (German sherphad dogs) >Polisi wa doria > Uzio (fences) Je kuna tishio la kigaidi???? Kulikoniiiiii
>Vioo vya kuzuia risasi( bullet proof glasses ) > Mbwa askari (German sherphad dogs) >Polisi wa doria > Uzio (fences) Je kuna tishio la kigaidi???? Kulikoniiiiii
Ntuzu JF-Expert Member Joined Aug 8, 2013 Posts 17,418 Reaction score 10,877 Feb 21, 2014 #2 autorun255 said: >Vioo vya kuzuia risasi( bullet proof glasses ) > Mbwa askari (German sherphad dogs) >Polisi wa doria > Uzio (fences) Je kuna tishio la kigaidi???? Kulikoniiiiii Click to expand... Na kuna farasi kibao! Binafisi Hili bunge livunjwe kabisa! Hamna lolote wanalofanya Zaidi ya kula kodi zetu tu na kutuletea katiba mbovu!
autorun255 said: >Vioo vya kuzuia risasi( bullet proof glasses ) > Mbwa askari (German sherphad dogs) >Polisi wa doria > Uzio (fences) Je kuna tishio la kigaidi???? Kulikoniiiiii Click to expand... Na kuna farasi kibao! Binafisi Hili bunge livunjwe kabisa! Hamna lolote wanalofanya Zaidi ya kula kodi zetu tu na kutuletea katiba mbovu!
autorun255 JF-Expert Member Joined Sep 8, 2013 Posts 1,105 Reaction score 364 Feb 21, 2014 Thread starter #3 Ntuzu said: Na kuna farasi kibao! Binafisi Hili bunge livunjwe kabisa! Hamna lolote wanalofanya Zaidi ya kula kodi zetu tu na kutuletea katiba mbovu! Click to expand... Tena waaache kulalamika kuhusu posho .....eti ni ndogo . Wajumbe wameenda bungeni kuvuna mitaji.
Ntuzu said: Na kuna farasi kibao! Binafisi Hili bunge livunjwe kabisa! Hamna lolote wanalofanya Zaidi ya kula kodi zetu tu na kutuletea katiba mbovu! Click to expand... Tena waaache kulalamika kuhusu posho .....eti ni ndogo . Wajumbe wameenda bungeni kuvuna mitaji.
Chimunguru JF-Expert Member Joined May 3, 2009 Posts 10,678 Reaction score 4,370 Feb 21, 2014 #4 ujue ccm wanajua wanachokifanya. Wanataka kulazimisha hoja zao, hasa ile ya serikali mbili. Nadhani ukuta wa Berlin ulikuwa strong zaidi ya hako ka uzio wanakokajenga lkn watu waligawana ule ukuta
ujue ccm wanajua wanachokifanya. Wanataka kulazimisha hoja zao, hasa ile ya serikali mbili. Nadhani ukuta wa Berlin ulikuwa strong zaidi ya hako ka uzio wanakokajenga lkn watu waligawana ule ukuta