Kulikoni Watanzania tusijitathmini au japo kujilinganisha na wenzetu?

Kulikoni Watanzania tusijitathmini au japo kujilinganisha na wenzetu?

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
Zambia na Tanzania ni nchi mbili majirani.

Tanzania tukiwa kwenye rojo la CAG na ubadhirifu mkubwa, hali hizi:

Screenshot_20230319-081205.jpg


ni sehemu ya maisha.

Kama vile haitoshi, huku kazi inaendelea:

FuzOTBRXgAEgdEf.jpeg


Zambia ni hawa hapa:

FuzCFlgXwAIAiQU.jpeg


Kwa nini wanaokenua kwetu kama si mananihii kabisa, wasipimwe japo mkojo?

Tujitafakari, tutakuwa tumepotea njia.
 
Back
Top Bottom