B brazaj JF-Expert Member Joined Jul 26, 2016 Posts 31,698 Reaction score 41,733 Apr 28, 2023 #1 Zambia na Tanzania ni nchi mbili majirani. Tanzania tukiwa kwenye rojo la CAG na ubadhirifu mkubwa, hali hizi: ni sehemu ya maisha. Kama vile haitoshi, huku kazi inaendelea: Zambia ni hawa hapa: Kwa nini wanaokenua kwetu kama si mananihii kabisa, wasipimwe japo mkojo? Tujitafakari, tutakuwa tumepotea njia.
Zambia na Tanzania ni nchi mbili majirani. Tanzania tukiwa kwenye rojo la CAG na ubadhirifu mkubwa, hali hizi: ni sehemu ya maisha. Kama vile haitoshi, huku kazi inaendelea: Zambia ni hawa hapa: Kwa nini wanaokenua kwetu kama si mananihii kabisa, wasipimwe japo mkojo? Tujitafakari, tutakuwa tumepotea njia.
IamBrianLeeSnr JF-Expert Member Joined Nov 10, 2022 Posts 2,010 Reaction score 4,179 Apr 28, 2023 #2 Mama anaingoza nchi wakati remote ipo msoga..Tatizo limeanzia hapo!
B brazaj JF-Expert Member Joined Jul 26, 2016 Posts 31,698 Reaction score 41,733 Apr 28, 2023 Thread starter #3 IamBrianLeeSnr said: Mama anaingoza nchi wakati remote ipo msoga..Tatizo limeanzia hapo! Click to expand... Timu kukenua ikalipalilia tatizo kuwa kubwa zaidi. Hawa wapimwe japo mkojo.
IamBrianLeeSnr said: Mama anaingoza nchi wakati remote ipo msoga..Tatizo limeanzia hapo! Click to expand... Timu kukenua ikalipalilia tatizo kuwa kubwa zaidi. Hawa wapimwe japo mkojo.
B brazaj JF-Expert Member Joined Jul 26, 2016 Posts 31,698 Reaction score 41,733 Apr 29, 2023 Thread starter #4 Tukitoa 10m/- kwa goli watoto wanauwawa na fisi wakienda shule. Watoto wawili wa darasa la kwanza washambuliwa na fisi mpaka kufa Magu
Tukitoa 10m/- kwa goli watoto wanauwawa na fisi wakienda shule. Watoto wawili wa darasa la kwanza washambuliwa na fisi mpaka kufa Magu