Kulikuwa na haja gani kumuweka Bwana Masele kwenye sanduku

Kulikuwa na haja gani kumuweka Bwana Masele kwenye sanduku

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
Ushaliwa kiboga naona unakuja na miharo yako Kama kawaida!.
 
Kama kweli wewe Boban Okwi Sunzu unajiamini kabisa, embu njoo na uzi uandike Yanga hachezi robo fainali ya CAF champions league msimu huu. Nione kama bado una ujasiri au spana zimekuingia za kutosha hamu tena na Yanga huna.
 
Kama kweli wewe Boban Okwi Sunzu unajiamini kabisa, embu njoo na uzi uandike Yanga hachezi robo fainali ya CAF champions league msimu huu. Nione kama bado una ujasiri au spana zimekuingia za kutosha hamu tena na Yanga huna.
Umeandikia mada ipi?
 
Kuna jamaa mmoja lopolopo alisema huko wenye akili ni wawili tu.
 
Mbona video haiplay kwangu ?
 
Back
Top Bottom