Mpinzire
JF-Expert Member
- Jan 18, 2013
- 7,503
- 13,463
Ilikuwa Oktoba 16, 2015 pale Bagamoyo ambapo Rais wa wakatiuo Jakaya Mrisho Kikwete aliweka jiwe la msingi kuashiria ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo unaanza rasmi huku akiwa Mkurugenzi wa kampuni itakayojenga Bandari hiyo.
Zoezi ilo lilifanyika siku 8 tu kabla ya Uchaguzi mkuu ambapo Mh Jakaya Kikwete alikuwa amalize mdawake wa utumishi wa uRais.
Muda ulisonga Jakaya Kikwete akamaliza mdawake wa uongozi wa nchi akapatikana mrithi wake ambae alikuwa Mh John Pombe Joseph Magufuli ambapo kwa upande wake aliuelezea mradi wa Bagamoyo kuwa ulikuwa na Masharti ambayo yangeifirisi nchi huko mbeleni, ufafanuzi huu pia ulitolewa na Engineer Kakoko ambae alikuwa Mkurugenzi wa Mamlaka ya Bandari Tanzania bapo kwasasa uteuzi wake ulishatenguliwa na pia Bwana Mkinga ambae alikuwa mjumbe wa Bodi ya TPA mnamo May 05, 2019 akihojiwa na Star Tv pia alipinga masharti yaliyokuwa waliyoweka Wachina ili kutekeleza mradi uo.
Mjumbe wa Bodi ya TPA Renatus Mkinga alifariki dunia May 25 2021 kabla ya kuvunjwa kwa Bodi ya Tasac na Mh Samia Suluhu Hassan.
Kwasasa Mh Samia Suluhu Hassan alilielezea Taifa Mazungumzo ya Mradi wa Bagamoyo yataanza tena mara baada ya kusimama kipindi cha mtangulizi wake Hayati Magufuli aliefariki March 17 202, huku akiahidi kuanza tena upya kabisa kama kama hakukuwa na majadiliano yoyote katika awamu ya 5, Mh samia kuhusu ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo kwake anaanza alipoishia Jakaya Kikwete na sipo alipoishia John Pombe Magufuli.
Waziri Mwambe ambae ni Waziri wa Uwekezaji alilieleazea taifa kuwa hakukuwa na mkataba wowote uliowah kusainiwa juu ya ujenzi wa Bandari iyo ya Bagamoyo kitu ambacho kimezua minong'ono ya watu wakijiuliza ilikuwaje kuanzisha mradi pasi kuwa na mkataba kipindi cha awamu ya nne?
Kulikuwa uwalaka gani haswa kama hakukuwa na mkataba?
Je, Mchina angejenga Bandari bila Mkataba? Ikumbukwe kuwa utaratibu unatakiwa Mkataba usainiwe ndipo jiwe la msingi lije kuwekwa ambapo baada ya kusainiwa mkataba mkabdarasi anatakiwa apewe miezi 6 yakuleta mitambo yake ili aanze ujenzi, na utaratibu ulivyo ukiweka jiwe la msingi ni kiashiria mradi unaanza rasmi sasa na ni sawa mkandarasi umemkabidhi eneo lake.
Watanzania tutamkumbuka na kumlilia nani juu ya sarakasi za Bandari ya Bagamoyo?
Zoezi ilo lilifanyika siku 8 tu kabla ya Uchaguzi mkuu ambapo Mh Jakaya Kikwete alikuwa amalize mdawake wa utumishi wa uRais.
Muda ulisonga Jakaya Kikwete akamaliza mdawake wa uongozi wa nchi akapatikana mrithi wake ambae alikuwa Mh John Pombe Joseph Magufuli ambapo kwa upande wake aliuelezea mradi wa Bagamoyo kuwa ulikuwa na Masharti ambayo yangeifirisi nchi huko mbeleni, ufafanuzi huu pia ulitolewa na Engineer Kakoko ambae alikuwa Mkurugenzi wa Mamlaka ya Bandari Tanzania bapo kwasasa uteuzi wake ulishatenguliwa na pia Bwana Mkinga ambae alikuwa mjumbe wa Bodi ya TPA mnamo May 05, 2019 akihojiwa na Star Tv pia alipinga masharti yaliyokuwa waliyoweka Wachina ili kutekeleza mradi uo.
Mjumbe wa Bodi ya TPA Renatus Mkinga alifariki dunia May 25 2021 kabla ya kuvunjwa kwa Bodi ya Tasac na Mh Samia Suluhu Hassan.
Kwasasa Mh Samia Suluhu Hassan alilielezea Taifa Mazungumzo ya Mradi wa Bagamoyo yataanza tena mara baada ya kusimama kipindi cha mtangulizi wake Hayati Magufuli aliefariki March 17 202, huku akiahidi kuanza tena upya kabisa kama kama hakukuwa na majadiliano yoyote katika awamu ya 5, Mh samia kuhusu ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo kwake anaanza alipoishia Jakaya Kikwete na sipo alipoishia John Pombe Magufuli.
Waziri Mwambe ambae ni Waziri wa Uwekezaji alilieleazea taifa kuwa hakukuwa na mkataba wowote uliowah kusainiwa juu ya ujenzi wa Bandari iyo ya Bagamoyo kitu ambacho kimezua minong'ono ya watu wakijiuliza ilikuwaje kuanzisha mradi pasi kuwa na mkataba kipindi cha awamu ya nne?
Kulikuwa uwalaka gani haswa kama hakukuwa na mkataba?
Je, Mchina angejenga Bandari bila Mkataba? Ikumbukwe kuwa utaratibu unatakiwa Mkataba usainiwe ndipo jiwe la msingi lije kuwekwa ambapo baada ya kusainiwa mkataba mkabdarasi anatakiwa apewe miezi 6 yakuleta mitambo yake ili aanze ujenzi, na utaratibu ulivyo ukiweka jiwe la msingi ni kiashiria mradi unaanza rasmi sasa na ni sawa mkandarasi umemkabidhi eneo lake.
Watanzania tutamkumbuka na kumlilia nani juu ya sarakasi za Bandari ya Bagamoyo?