Kulikuwa na sababu ya msingi kumtimua Nape?

Kulikuwa na sababu ya msingi kumtimua Nape?

Ileje

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2011
Posts
9,524
Reaction score
13,682
Kama hali ya kuzuia shughuli za kisiasa ndiyo hii na kukamata viongozi wa vyama vya siasa vya upinzani ndiyo huu, kosa la Nape ni nini?

Nape alitamka kuwa mshindi katika uchaguzi hatokani na sanduku la kura, na huo ndio ukweli kwa nini Samia akamtimua kwa kusema ukweli?
 
Kwani nani kasema kuwa Nape katimuliwa kwasbb ya kauli hiyo? Makamba na Kinana nao waliitamka hiyo kauli?

Hiyo kauli hata bibi mwenyewe aliitamka katika uchaguzi wa 2020 kuwa "hata kama watanzania watawapigia kura wapinzani, ccm ndiyo itaunda serikali". Kauli hii haina tofauti na ile ya Nape.

Nape kafurushwa kwa kuonesha kuwa hana Imani na mama kugombea tena urais 2025, hivyo alikuwa anapanga mipango mingine na rafiki yake Makamba.

Watanzania tungekuwa na akili tungewaunga mkono watu hawa.
 
Kwani nani kasema kuwa Nape katimuliwa kwasbb ya kauli hiyo? Makamba na Kinana nao waliitamka hiyo kauli?

Hiyo kauli hata bibi mwenyewe aliitamka katika uchaguzi wa 2020 kuwa "hata kama watanzania watawapigia kura wapinzani, ccm ndiyo itaunda serikali". Kauli hii haina tofauti na ile ya Nape.

Nape kafurushwa kwa kuonesha kuwa hana Imani na mama kugombea tena urais 2025, hivyo alikuwa anapangua mipango mingine na rafiki yake Makamba.

Watanzania tungekuwa na akili tungewaunga mkono watu hawa.
Uko sahihi kabisa. Naunga mkono hoja..
 
Kwani nani kasema kuwa Nape katimuliwa kwasbb ya kauli hiyo? Makamba na Kinana nao waliitamka hiyo kauli?

Hiyo kauli hata bibi mwenyewe aliitamka katika uchaguzi wa 2020 kuwa "hata kama watanzania watawapigia kura wapinzani, ccm ndiyo itaunda serikali". Kauli hii haina tofauti na ile ya Nape.

Nape kafurushwa kwa kuonesha kuwa hana Imani na mama kugombea tena urais 2025, hivyo alikuwa anapangua mipango mingine na rafiki yake Makamba.

Watanzania tungekuwa na akili tungewaunga mkono watu hawa.
Unawaungaje mkono watu ambao hawaamini katika demokrasia?

Nape na Makamba ni wabinafsi na wepesi kutumia mabavu kwa hiyo hawatakiwi kabisa!

Mabadiliko aliyoyafanya Bibi wa Kizimkazi yalishinikizwa na kauli ya Nape ingawa na yeye ni mnafiki!
 
Kweli kabisa. Kabla ya huyu bibi kuwa ikulu, nani alimfahamu Abdul? Lkn hivi sasa Abdul amekuwa maarufu kuliko PM na anachota hela hazina kama zake vile.
Mbaya zaidi anafanya mazungumzo na Jumuiya za kimataifa kama mwakilishi wa serikali!
 
Kama hali ya kuzuia shughuli za kisiasa ndiyo hii na kukamata viongozi wa vyama vya siasa vya upinzani ndiyo huu, kosa la Nape ni nini?

Nape alitamka kuwa mshindi katika uchaguzi hatokani na sanduku la kura, na huo ndio ukweli kwa nini Samia akamtimua kwa kusema ukweli?
Alitoa siri ya kambi hadharani.
 
Kwani nani kasema kuwa Nape katimuliwa kwasbb ya kauli hiyo? Makamba na Kinana nao waliitamka hiyo kauli?

Hiyo kauli hata bibi mwenyewe aliitamka katika uchaguzi wa 2020 kuwa "hata kama watanzania watawapigia kura wapinzani, ccm ndiyo itaunda serikali". Kauli hii haina tofauti na ile ya Nape.

Nape kafurushwa kwa kuonesha kuwa hana Imani na mama kugombea tena urais 2025, hivyo alikuwa anapangua mipango mingine na rafiki yake Makamba.

Watanzania tungekuwa na akili tungewaunga mkono watu hawa.
Hiyo kauli yako ya mwisho nimekuona huna akili yaani tuwaunge mkono wahalifu/watu wenye uwezo mdogo ?
 
Mijianasiasa yote ni ile ile wanavutia kwao
 
Na
Kama hali ya kuzuia shughuli za kisiasa ndiyo hii na kukamata viongozi wa vyama vya siasa vya upinzani ndiyo huu, kosa la Nape ni nini?

Nape alitamka kuwa mshindi katika uchaguzi hatokani na sanduku la kura, na huo ndio ukweli kwa nini Samia akamtimua kwa kusema ukweli?
Na wapi iliandikwa huyo uliyemtaja ana hatimiliki na madaraka ya nchi hii (kupitia hoja yako) ? Je, pia Umewahi kusoma CV ya Mzee Msuya, Jaji Warioba na Mzee Kawawa?

Soma walivyowahi kuondolewa na kurudishwa. Tatizo vijana wa siku hzi ile cheo ni dhamana hatujui. Tukiteuliwa cheers kibao ila tukiondolewa maneno mi.ngiii..# Tumwache Mhe. Rais ateue awatakao. 🙏🙏🙏
 
Na
Na wapi iliandikwa huyo uliyemtaja ana hatimiliki na madaraka ya nchi hii (kupitia hoja yako) ? Je, pia Umewahi kusoma CV ya Mzee Msuya, Jaji Warioba na Mzee Kawawa?

Soma walivyowahi kuondolewa na kurudishwa. Tatizo vijana wa siku hzi ile cheo ni dhamana hatujui. Tukiteuliwa cheers kibao ila tukiondolewa maneno mi.ngiii..# Tumwache Mhe. Rais ateue awatakao. 🙏🙏🙏
Sitegemei hoja tofauti kwa chawa!
 
Back
Top Bottom