Maundumula
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 7,553
- 3,081
mkuu unawez jifunza kwa dreva wa hilo trekta, lakini unatakiwa kwanza ujue kuliendaha vizuri kabisa kabla ya kuanza kujifunza kulima nalo, Kama unaweza kuliendesha bila tatizo unaweza kuwa unajifunza taratibu utaelewa na haitaki papara,
Kuna kuua Trekta mkuu hasahasa kwenye Hydroric ya jembe au kupasua brock,