A
Anonymous
Guest
Hawa watu wanakusanya kila nyumba Elfu 2000/= kwa taka na Ulinzi lakini cha ajabu wakifika nyumba yenye wapangaji wanakusanya kila chumba 2,000/= swali langu kwa mamlaka husika je inakuwa ni haki hata kwa famili yenye vyumba hata kumi wao wanatoa kiasi kidogo.
Je, ushuru ni kwa chumba au kwa nyumba?
Naomba kufahamu hili.
Je, ushuru ni kwa chumba au kwa nyumba?
Naomba kufahamu hili.