Kulipuka kwa mlima Vesuvius kule Italia

Kulipuka kwa mlima Vesuvius kule Italia

Superbug

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2018
Posts
13,864
Reaction score
35,079
Leo tujikumbushe mada hii inayovutia sana

Miaka 62 baada ya yesu kristo mlima mmoja unaoitwa mount Vesuvius ulilipuka volkano na ukafukia kabisa miji minne mikubwa enzi hizo mji maarufu ukiwa Pompeii pia miji ya Herculaneum, oplontis na stabiae ilifukiwa kabisa
Volkano hii ililipuka km 33 kwenda angani sawa na mile 21 toka ardhini kwenda juu na ilikuwa inamwaga karibu tani 1.5milioni za mavumbi kwa sekunde na mlipuko wake ulikuwa ni mkubwa Mara laki moja 100,000 kuzidi ile milipuko ya mabomu ya nyuklia ya Hiroshima na Nagasaki

Watu walifukiwa kabisa na mpaka Leo hii miili yao IPO vizuri kabisa na inaonekana japo ikiwa imefunikwa na ugumu wa lava iliyopoa

Lakini waliokutwa na kifo wakiwa wamelala au wamekaa miili yao IPO mpk Leo hii.

Huo ndio mount Vesuvius ulioleta balaa kubwa sana huko Italia karne 20 zilizopita

Najifunza kuwa mwandishi kama DA Vinci na wakali wengineo.
 
Kuna watu waliliona hili tukio kwa mbali sana na wakaweka kumbukumbu kwa maandishi mmoja wao akiwa dogo mmoja anaitwa plenny mount Vesuvius unakadiriwa kuuwa karibu watu 16,000 na nimoja kati ya milipuko ya volkano maarufu sana duniani

Watani zangu wachaga shauri yenu !!!
 
Leo tujikumbushe mada hii inayovutia sana

Miaka 62 baada ya yesu kristo mlima mmoja unaoitwa mount Vesuvius ulilipuka volkano na ukafukia kabisa miji minne mikubwa enzi hizo mji maarufu ukiwa Pompeii pia miji ya Herculaneum, oplontis na stabiae ilifukiwa kabisa
Volkano hii ililipuka km 33 kwenda angani sawa na mile 21 toka ardhini kwenda juu na ilikuwa inamwaga karibu tani 1.5milioni za mavumbi kwa sekunde na mlipuko wake ulikuwa ni mkubwa Mara laki moja 100,000 kuzidi ile milipuko ya mabomu ya nyuklia ya Hiroshima na Nagasaki

Watu walifukiwa kabisa na mpaka Leo hii miili yao IPO vizuri kabisa na inaonekana japo ikiwa imefunikwa na ugumu wa lava iliyopoa

Lakini waliokutwa na kifo wakiwa wamelala au wamekaa miili yao IPO mpk Leo hii.

Huo ndio mount Vesuvius ulioleta balaa kubwa sana huko Italia karne 20 zilizopita

Najifunza kuwa mwandishi kama DA Vinci na wakali wengineo.
Mbona kwenye millipuko iliyoletwa volcano haupo huo wako?Kama no kweli umefichwa basi tupe source ya taarifa yako mkuu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom