KUMBE ABIRIA TUKIAMUA TUNAWEZA! Nimefurahishwa leo mitaa ya Moshi KCMC ni baada ya konda m1 wa daladala kushndwa kupokea Tshs. 200 kutoka kwa Abiria mmoja mwanafunzi kisa ni J2 anadai alipe 400/= ni baada ya kusimamishwa gari muda mrefu bila kufika mwafaka, ABIRIA WOTE TUKAAMUA KUSHUKA NA GARI KUBAKI TUPU KABISA!
Share km umependa
leave it km imekuboa!
Share km umependa
leave it km imekuboa!