Ben Zen Tarot
JF-Expert Member
- Dec 13, 2014
- 4,298
- 7,612
Huyu mwamba sio mzaramo ujue, hakuna cha binamu wala mpwaHivi kweli unaweza ukaoa mtoto wa shangazi au mjomba ???View attachment 2247600
Ukifatilia theory zake utajua kwanini hata nywele zake zilikuwa hazitulii!.. we mtu alitabiri vitu ambavyo vimekuja kugundulika miaka hii ya 2000+Hivi nywele zake alipigwa shoti ya umeme?
Kwa akili za huyu mwamba ata dada yake mwenyewe angekubali kugegedwa naeHivi kweli unaweza ukaoa mtoto wa shangazi au mjomba ???View attachment 2247600
WAarabu he mbona wanaoana na life linaendaHuyu mwamba sio mzaramo ujue, hakuna cha binamu wala mpwa
Sembuse na hao watoto wa malikiaWAarabu he mbona wanaoana na life linaenda
Ni uzee lakini hata ivyo sijawai ona picha yake ya ujanani!Hivi nywele zake alipigwa shoti ya umeme?
.... weka original source ya hii story; isije kuwa "mtoto wa shangazi" ni tafsiri yako mwenyewe.
Mzee wa E=mc2Ukifatilia theory zake utajua kwanini hata nywele zake zilikuwa hazitulii!.. we mtu alitabiri vitu ambavyo vimekuja kugundulika miaka hii ya 2000+
Hajawahi tuma vitu kwenye space ila mwamba alivigundua kwa kupitia kuwaza na calculation! Acha nywele zisimame tu hakuna namna..😂
Ni kweli. Shoti za umeme wa mahesbau makali.Hivi nywele zake alipigwa shoti ya umeme?
Umenena kitu kikubwa sanaaaUkifatilia theory zake utajua kwanini hata nywele zake zilikuwa hazitulii!.. we mtu alitabiri vitu ambavyo vimekuja kugundulika miaka hii ya 2000+
Hajawahi tuma vitu kwenye space ila mwamba alivigundua kwa kupitia kuwaza na calculation! Acha nywele zisimame tu hakuna namna..😂
Ongeza Wahangaza.Inategemea na utamaduni, tena ni kawaida sana barani Afrika. Hata ndani ya ukanda huu wa Afrika Mashariki. Waborana(Ke), Warendille(Ke), Wagabra(Ke) Waoromo(Ke & Et), Wasomali(Ke, Et & So), Wa-Afar, Watigray na Wa-Amhara wa Et, wote hao huwa wanaoa watoto wa wajomba na shangazi zao.
Sijui kuhusu Wairaqw wa Tz, ila kwa ufupi ni kwamba ni jambo la kawaida na ambalo linakubalika. Kwa makabila karibia yote ambayo kiasili huwa yanajulikana kama 'cushites'.
Binamu nyama ya hamu,mimi nakulaga sana.