Kumbe alikuwa kicheche

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
76,107
Reaction score
160,001
Umebwengwa na Mpare/ Mchagga, mimba unambambikia Muha wa Kigoma.
Je wewe Ni Nani Kama sio lijidunhauembe?
Mtoto ana miaka +30 ndio unakuja sema huyu baba yako siyo baba yako baba yako Ni Bujibuji, what the fuckyie is that?
Wafute majina yote ya wajukuu, na kwenye pasipwenga wayafute nyang'au Hawa mtu na mama yake
 
Afu Bujibuji mwenyewe amelala usingizi wa milele. Hawezi kupinga ama kukubali.

the feeling that mama anagawa urithi wa Bibi bila ukomo...sad
 
Kiki tu hamna lingine hapo wanjaribu kutengeneza skendo wapige hela hao
 

Huyo maza apigwe risasi
 
Huyo mama anajidhalilisha sana,anaonyesha ni jinsi gani enzi za usichana wake alikuwa macho juu juu
 
wamezima lile sakata la tv yao kufungiwa kuzungumzwa sana mtandaoni....
 
Eti ndomu ilipasuka ndo akapatikana Mondi.... Jameni... Haya mambo wangemalizana hukoo kuliko kuyaleta hadharani
 
Hii familia imenichosha kwa kweli,Kila Kona ni wao tu.
 
Kwani kaambiwa Mondi kuwa huyo sio babaake?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…