lamekiAgustino
JF-Expert Member
- Feb 4, 2024
- 481
- 1,318
sema Wakenya kwenye hii bato wanashinda nama wanapeana like kibao. watanzania niwamwisho kabisa kwenye hii batoutazani mondi sio wao wakenya wanatamba nae tuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Achana na hayo, nitafutie "mwekezaji" huko aliye tayari kuuchukua mlima Kilimanjaro. Atakuwa na uhalali wa kupost TikTok kuwa mlima Kilimanjaro ni wake!wakenya wameanzisha tabia yakusema diamond nimsanii wetu basi Warwanda, Uganda, Burundi nanchi kibao wanashindana kusema diamond nimsanii wetu replay zaidi ya elfu 12 ni diamond is our artist from Kenya🤣mwingine uganda nikaona mwingine wabrazil nikasema duu kweli ubaya ubwela
sema wakenya kwenye hii bato wanashinda nama wanapeana like kibao
watanzania niwamwisho kabisa kwenye hii batoutazani mondi sio wao wakenya wanatamba nae tuu