wakenya wameanzisha tabia yakusema diamond nimsanii wetu basi Warwanda, Uganda, Burundi nanchi kibao wanashindana kusema diamond nimsanii wetu replay zaidi ya elfu 12 ni diamond is our artist from Kenya🤣mwingine uganda nikaona mwingine wabrazil nikasema duu kweli ubaya ubwela
sema wakenya kwenye hii bato wanashinda nama wanapeana like kibao
watanzania niwamwisho kabisa kwenye hii batoutazani mondi sio wao wakenya wanatamba nae tuu