Japokuwa baada tu ya kutangazwa Lema wananchi waliliponda gari la maji ya pilipili kwa mawe...nadhani ni ushabiki uliozidi!Wanaipenda sana Chadema hata Arusha, walitoa ushirikiano mzuri sana kwa wanachadema wa kati wa sakata la kusubiri matokeo.
Japokuwa baada tu ya kutangazwa Lema wananchi waliliponda gari la maji ya pilipili kwa mawe...nadhani ni ushabiki uliozidi!
Watu kadhaa kwenye basi moja walikuwa wakijadiliana yaliyojiri Shinyanga; mabomu, vurugu, nk. Wanasema, '..kabla ya kupiga mabomu wanasea, WANANCHI LALA CHINI, NA BAADA YA HAPO MJIOSHE NA VITAMBAA VYA MAJI' Ndipo wao hulipua mabomu juu, kutii amri waliyopewa. Wakati wa uchaguzi pia walitoa inshara za vidole 2. Mara nyie hakikisheni mnakaa mistari 2, huku wakionyesha vidole 2. Mara, nyie zingatieni mambo mawili, huku wakionyesha vidole 2. Mara wanajifanya wameshika tama lakini kwa vidole viwili....
Yawezekana maneno hayo siyo ya kweli, kwani ni ya kusikia
NDIYO YALIYOBAKI... Hivi sherehe za kumuapisha Dokta Silaa yanafanyika LINI na WAPI vile? Teh teh teh!
Peeeeeoooooppppllllllllleeeeeeessssss Pppppppooooooowwwwwweeeeeeerrrrrrrrrr!!!!!!!!!!!!! Midomo yote sasa isha:tape:
Japokuwa baada tu ya kutangazwa Lema wananchi waliliponda gari la maji ya pilipili kwa mawe...nadhani ni ushabiki uliozidi!
πeace:πeace:πeace:πeace:Watu kadhaa kwenye basi moja walikuwa wakijadiliana yaliyojiri Shinyanga; mabomu, vurugu, nk. Wanasema, '..kabla ya kupiga mabomu wanasea, WANANCHI LALA CHINI, NA BAADA YA HAPO MJIOSHE NA VITAMBAA VYA MAJI' Ndipo wao hulipua mabomu juu, kutii amri waliyopewa. Wakati wa uchaguzi pia walitoa inshara za vidole 2. Mara nyie hakikisheni mnakaa mistari 2, huku wakionyesha vidole 2. Mara, nyie zingatieni mambo mawili, huku wakionyesha vidole 2. Mara wanajifanya wameshika tama lakini kwa vidole viwili....
Yawezekana maneno hayo siyo ya kweli, kwani ni ya kusikia