Mwamba 777
JF-Expert Member
- Nov 23, 2020
- 2,055
- 3,535
kwani hospitali, madawa, WHO, na mengineo yaliletwa duniani na waliopewa akili hizo na nani?Wapi nimesema WHO ni malaika ?
Vitu vyote unavyotumia vimeletwa dunia hii na malaika ?
Madawa yote huko hospitali unayotumia yameletwa na malaika ?
Ni kweli mkuu. Ishara ziko wazi kabisa lakini watu wakishafumba macho hawataki kuambiwa kingine. Inasikitisha sana. Kundi kubwa sana la watu wanadhani mzungu hawezi kuwa mwongo; WHO (ambayo mfadhili ni akina bill gate) hawawezi kuwa waongo - hivyo wako tayari kuamini chochote. So so sad 🙁🙁Tatizo mkuu, ni watu wachache wata - take trouble ya kukuelewa - mwisho wa siku hii kitu kisipo kuwa nipped in the bud the soonest it gonna cost humanity an arm and leg kutokana na kupuuzia dalili zinazo jitokeza hapa na pale Dunia nzima hisipokuwa Uchina na Urusi ambako chanjo hizi za magharibi hazitumiki. Hakuna anaye pinga watu kuchanjwa au ambaye hajui umuhimu wa chanjo - lakini sio vizuri kuwadungu binadamu Experimental Biological Agents - ambazo wame cut corners kuziingiza sokoni - kisa? Eti sababu ya dhalula (Emergency). Swali hapa ni: Kwa nini nchi za magharibi hawataki kuzalisha chanjo kwa kutumia mbinu za asili zinazotumika Duniani kwa zaidi ya miaka mia kuzalisha chanjo - narudia kukumbusha kwamba mbinu za asili ndio zinatumiwa na Wachina kuzalisha chao zao, na hatujawahi kusikia visa vya ajabu kutoka kwa wstumiaji wa chanjo za Kichina kwenye mataifa yaliyo kubali kutumia chanjo za Kichina, si hilo bali China vile vile ndilo Taifa pekee Duniani lililo fanikiwa kwa kiwango kikubwa kukabiriana na kudhibiti maambukizi ya covid variant zote zilizo wahi kujitokeza - kwa nini sisi na Dunia nzima hatutaki kujifunza kutoka kwenye successful story ya Taifa la China?
Duniani kote watu wanapanga foleni kupokea chanjo kwa sababu wanaona faida na mafanikio yake. Pia wako watu wanaokataa ambao ni idadi ndogo (si ndogo sana) wakiwa na sauti kubwa.Wewe umeona Tanzania tu? Duniani kote watu wanaendelea kugomea chanjo
kwa taarifa yako ukiona nchi zilizoendelea watu wanaandamana hasa marekani ujue wamelipwa.....do diligent research, utakutana na majina kama akina George soros na wenzake the deep state. Usiamini kila unachokiona kwenye tv au mitandaoni.Wewe umeona Tanzania tu? Duniani kote watu wanaendelea kugomea chanjo
Wewe chanjo zako ni zipi mlizogundua na Gwajima wenu!?Unafikiri WHO ni malaika?,fahamu hao ni binadamu wana mapungufu pia,wana interest zao,wananunulika ,wanaweza kiuka viapo vyao.
Remember hakuna mkate mgumu mbele ya chai
mfumo wa upatikanaji chanjo anaufahamu? Huwezi ukalinganisha namna chanjo ya polio ilivyopatikana mwaka 1958 technolojia ikiwa chini ukalinganisha na leo teknolojia ikiwa juu. Ndiyo sababu nimesema wasomi wa tanzania mmemkabidhi gwajima usomi wenu na amukalia mmebaki kuusikilizatu.Gwajima unakukwaza nini,labda tuanzie hapo - Gwajima anacho sema kinahusu mfumo uliyo tumika kuzalisha chanjo - mfumo huo una walakini sana, wala uhitaji shahada ya PhD ya fani ya Molecular Biology na Immunology to know matatizo ya muda mfupi na muda mrefu yanayo weza kusababishwa na hizi Experimental Biological Agents - wao wanaziita chanjo!! Bone of contention ya Gwajima na mRNA na Vector chanjo ni genetic technology ambayo inetumiwa kuzakisha chanjo badala ya kutumia njia asili ya kuzalisha chanjo ambayo sehemu ya kirusi cha covid kilicho punguzwa nguvu au kuharibiwa kabisa ndio vinatumiwa kuzalisha chanjo bila ya kuongeza kitu cha ziada - chanjo ambazo Gwajima anazipinga ni hizi ambazo hazina ingredient yoyote ya covid bali wao wanaingiza vitu ambavyo sio native wa virusi vya covid! Hapo Dunia itegemee nini?Kwa nini tushangae injuries zinazo sababishwa na chanjo hizi za mRNA na za Vector type - injuries kama: blood clot, stroke,paralysis, kuvimba moyo au ubongo,kuharibu ovaries za kina mama nk - halafu tuseme hivi ni vitu vya kawaida kweli?
Mbona mambo hayo hatuyasikii kwenye chanjo za Kichina zinazo tumiwa kwenye mataifa 60 Duniani ikiwemo uchina yenyewe iliyo chanja RAIA wake zaidi ya 1.2 billion - kumbuka chanjo za kichina zinazalishwa kwa njia ya asilini na kama nilivyo sema hapo juu, Chanjo za Kichina hazina madhala kwa sababu mbinu zilizo tumiwa kuzalisha chanjo ndio mbinu zilizo vumbuliwa zaidi ya miaka mia iliyo pita ndio utumiwa kuzalisha chanjo za: Ndui,yellow fever,measles, pepo punda,TB no - ni tested and proven technology. Hivi sasa Uchina ndio inaongoza Duniani kudhibiti ugonjwa huu wa covid nchini mwao, badala ya Mataifa ya magharibi kujifunza kutoka Uchina jinsi ya ku-address maambukizi, wao wanaendeleza propaganda zao ya kuipiga vita Uchina hata kwenye masuala ya chanjo!
Zanzibar wanadunga watu wao kwa chanjo zinazo toka Uchina, sasa kwa nini Tanzania bara tusiwe na choice ya kuchagua chanjo ambayo RAIA anaona itakuwa balabala/faa kwake.
Kinacho shangaza kwa nini Dunia haitaki kujifunza kutoka Uchina jinsi ya kudhibiti na kuondoa kabisa tatizo hili la covid variant zote - tangu chanjo hizi za kijinetiki zianze kutumika Merikani na Ulaya mbona maambukizi yanaongezeka badala ya kupungua ni as if chanjo zenyewe zina wafanya baadhi ya watu walio chanjwa kuwa fast breeder wa covid variant kama vile fast breeder nuclear reactors, kwa nini baadhi ya majibo ya Merikani yaliko itikia kwa wingi chanjo ndio yanaongoza kwa maambukizi - what does that tell you - kuna matatizo si bure.
Bottom line is: Maoni ya Gwajima sio ya kubezwa bezwa hata kidogo, tuombe uhai lakini kadri siku/miaka inavyo kwenda tutakuja kumkumbuka Gwajima mapungufu yake notwithstanding.
Wewe mpumbavu,kwani hiyo lugha imekupiga changa ,pili umenakili kutoka kwenye website ambayo inapinga chanjo,tatu HUYO ASKOFU/MBUNGE NI TAPELI NA MWONGO.KESHAXHANJA TANGIA MWAKA JANA.ANACHEZEA AKILI ZETU.KANISA LAKE LINATEGEMEA MISAADA KUTOKA HUKO HUKO MAREKANI.WAKAGUE NI LINI ALIENDA HUKO?LAZIMA KWA TAARIFA ZA UHAKIKA AENDE MAREKANI KILA MWAKA KUTOA MCHANGANUO WA PESA ANAZOPEWA SASA TANZANIA TUMEWEKWA KATIKA RED COUNTRIES,SWALI KAMA HAKUCHANJA ALIINGIAJE?HUYU ASITUFANYE WATANZANIA WAJINGA.MLITUDANGANYA SANA WAKATI WA AWAMU YA 5.AWAMU HII TUMEAMKA.Chanjo zote za COVID zimeidhinishwa na WHO kwaajili ya matumizi ya dharula kwasababu maisha ya watu yanapotea na shughuli za kiuchumi nyingi zilisimama.
Na bahati nzuri zimepunguza vifo kwa kiasi kikubwa sana.
video haijatoka kwa wamiliki wa bitchute. Imetoka kwa daktari.
Tunaweza kweli kuwaamini TMDA kwa mambo serious wakati wanaotoa ushahidi kwa kuangalia vitu kwa macho? Hiki ndicho wanachosema.View attachment 1916131
Wafuasi wa kibwetere bwana 🤣 🤣 🤣, Jambo la kwanza unapaswa kuelewa history ya vaccination-Example Polio,Miaka ya Mwanzoni watu walikuwa wanajaza consent forms za chanjo ya Polio kabla hawajachoma sehemu mbalimbali duniani.Consent forms zilikuwa zinampa mtu haki ya ku-accept or reject chanjo husika baada ya ku-weigh benefits over risks.Baada ya Polio na magonjwa mbalimbali,Chanjo mbalimbali ziligeuka kuwa mandatory duniani mfano chanjo ya polio-hivyo watu wakanyimwa chance ya ku-reject and therefore mandate ya kujazishwa consent forms ikawa obsolete automatically.Swali unalopaswa kujiuliza,Watu hawajazi consent forms za Polio nw days kama zamani,Je chanjo ya polio sasa ina zero side effects? kwa nini unafikiri watu wanajaza consent forms? Chanjo ya covid ikijakuwa mandatory utajazishwa consent form ili iweje wakati zoezi linakuwa lazima?umeshindwa swali la consent form tu🤣🤣🤣🤣🤣 hayo mengine ndo ingekuwa upupu.
WHO si shirika la mchezo mchezo. Kama kila kitu utakitilia wasi wasi sijui utamwamini nani? Sasa wewe unaweza kumwamini kiongozi ambaye hana taaluma ya utabibu,ila imani yake tu- ndio ikuongoze katika mapambano na UVIKO-19 . Hizo ni enzi za Ujima.Unafikiri WHO ni malaika?,fahamu hao ni binadamu wana mapungufu pia,wana interest zao,wananunulika ,wanaweza kiuka viapo vyao.
Remember hakuna mkate mgumu mbele ya chai
Umekesha unatafuta majibu Google ndo unakuja na upupu huu🤣🤣🤣🤣Wafuasi wa kibwetere bwana 🤣 🤣 🤣, Jambo la kwanza unapaswa kuelewa history ya vaccination-Example Polio,Miaka ya Mwanzoni watu walikuwa wanajaza consent forms za chanjo ya Polio kabla hawajachoma sehemu mbalimbali duniani.Consent forms zilikuwa zinampa mtu haki ya ku-accept or reject chanjo husika baada ya ku-weigh benefits over risks.Baada ya Polio na magonjwa mbalimbali,Chanjo mbalimbali ziligeuka kuwa mandatory duniani mfano chanjo ya polio-hivyo watu wakanyimwa chance ya ku-reject and therefore mandate ya kujazishwa consent forms ikawa obsolete automatically.Swali unalopaswa kujiuliza,Watu hawajazi consent forms za Polio nw days kama zamani,Je chanjo ya polio sasa ina zero side effects? kwa nini unafikiri watu wanajaza consent forms? Chanjo ya covid ikijakuwa mandatory utajazishwa consent form ili iweje wakati zoezi linakuwa lazima?
*Penda kushughulisha akili na siyo kuuliza maswali ya kijinga 🤣🤣
Sumu inapo idhinishwa ili kuua watu!Swali ni je imekuwa scientifically approved au politically approved?
--
The F.D.A. approved full licensure of the Pfizer vaccine this morning and has also, I’m sure you’re aware, back in August on the 9th, the secretary articulated that it was his intent to mandate Covid-19 vaccines upon F.D.A. licensure or by mid-September to seek a waiver from the president. So now that the Pfizer vaccine has been approved, the department is prepared to issue updated guidance requiring all service members to be vaccinated. A timeline for vaccination completion will be provided in the coming days.
The health of the force is, as always, of our military and our civilian employees, families and communities is a top priority, and so it is important to remind everyone that these efforts ensure the safety of our service members and promote the readiness of our force, not to mention the health and safety of the communities around the country in which we live. We’re preparing now actionable guidance to the force we’re going to move forward making that vaccine mandatory. We’re preparing the guidance to the force right now, and that the actual completion date of it, in other words, how fast we want to see it get done, we’re working through that guidance right now.
Following the Food and Drug Administration’s final approval of the Pfizer-BioNTech coronavirus vaccine, Pentagon officials said they were working on a timeline for requiring vaccinations for all active-duty service members.CreditCredit...Carl Court/Getty Images
Full federal approval for the Pfizer-BioNTech coronavirus vaccine for those 16 and older is opening the way for institutions like the military, corporate employers, hospitals and school districts to announce vaccine mandates for their employees.
Within hours of the announcement, the Pentagon, CVS, the State University of New York system and the New York City school system, among others, announced that they would enforce mandates they had prepared to carry out but had made contingent on the F.D.A.’s action.
One of the first and largest to move ahead was the Pentagon. Defense Secretary Lloyd J. Austin III had already received authorization from President Biden to mandate vaccines for all active-duty troops once the vaccine was fully approved, and he was moving swiftly to put the plans into action, said John F. Kirby, the Pentagon spokesman. The secretary will soon send specific vaccination guidelines to 1.4 million service members.
“These efforts ensure the safety of our service members,” Mr. Kirby said during a news briefing on Monday. He said the deadline date for getting vaccinated was still being determined.
Last month, Mr. Biden ordered that all federal employees and on-site contractors must be vaccinated against the coronavirus, or else submit to regular testing and other measures. The requirement applied to the 766,372 civilians working for the Defense Department, but not active-duty service members.
The Defense Department’s website said that as of Aug. 18, more than one million service members have been vaccinated, along with more than 300,000 civilian employees.
Vaccine mandates for college students were also gathering pace after the F.D.A.’s decision.
The F.D.A.’s approval brought into force a requirement in New York, announced in May, that all in-person students at State University of New York and City University of New York schools be vaccinated. CUNY’s website said that after federal approval students “have 45 days to get fully vaccinated or will be subject to potential academic withdrawal.”
The University of Minnesota system, with five campuses and 60,000 students, said on Monday that the coronavirus vaccine would be added to the university’s list of mandatory immunizations for students. And the president of Louisiana State University told reporters that his school would also require vaccination. Each institution had previously said it would do so once the F.D.A. gave a coronavirus vaccine final approval.
The drugstore chain CVS said on Monday that its pharmacists would have to be fully vaccinated by Nov. 30 and that all corporate employees and other workers who interact with patients had until Oct. 31 to comply. The requirement affects about 100,000 employees, the company said. Workers may request exemptions for medical or religious reasons.
And Disney World said unions representing more than 30,000 employees had agreed to a mandate, citing the F.D.A.’s full approval, that would require workers to be vaccinated by Oct. 22.
New York City announced on Monday that every employee of the city’s Department of Education, from principals to janitors, would have to receive at least one dose of a coronavirus vaccine by Sept. 27.
Hours later, New Jersey’s governor, Philip D. Murphy, said that all state employees and employees of public, private and parochial schools in his state must be fully inoculated by Oct. 18 or be tested once or twice a week for the virus. And Chevron became the first major American oil producer to require its field workers to get vaccinated.
Before the F.D.A.’s announcement, the three coronavirus vaccines available in the United States, made by Pfizer-BioNTech, Moderna and Johnson & Johnson, were all being administered in the United States under an emergency use authorization. (The Pfizer vaccine remains available on that basis for youths 12 to 15 and for extra doses for some immunocompromised people.)
U.S. officials hope that full federal approval will quiet some of the vaccine misinformation online and induce more hesitant people to get vaccinated. A recent poll by the Kaiser Family Foundation found that three out of every 10 unvaccinated people said that they would be more likely to get a shot once it was fully approved.
But whether the announcement will help convince the roughly 85 million unvaccinated Americans to get inoculated without the added pressure of new requirements remains to be seen
Stephanie Saul, Eliza Shapiro, Tracey Tully and Coral Murphy-Marcos contributed reporting.
Source: Covid-19 Updates: F.D.A.’s Vaccine Approval Leads Pentagon and Others to Add Requirements
WHO si shirika la mchezo mchezo. Kama kila kitu utakitilia wasi wasi sijui utamwamini nani? Sasa wewe unaweza kumwamini kiongozi ambaye hana taaluma ya utabibu,ila imani yake tu- ndio ikuongoze katika mapambano na UVIKO-19 . Hizo ni enzi