hivi yeye hapti kitu ati!!!AZAM TV INATOA MA BILIONS KWA SIMBA NA YANGA.!!!!
KWANI ULIKUWA HUJUI????????
hahaha wewe umemaliza kila kitu mzeeMchawi lugha
Lkn muandiko wake dizain km mjukuu flan hv wa bwasheee Said
Acha iuzwe tuHivi huwa mnatoa wapi mawazo ya kujadili mambo kama mpira huku Nchi ikiuzwa,hivi nyie wagalatia nani amewaroga?
Atarithi vipi wakati bado Baba yake,na ndugu za Baba yakeBado hajawa na akili sawa sawa
Sasa huyu ndio wa kuja kurithi biashara za familia.
Ataweza kweli fanya kazi na Hizo timu zingine kama Kuna ulazima.
Ngoja tuone akili kama itakomaa
Hahahahaha! Watanzania ni watu wa pekee sanaHivi huwa mnatoa wapi mawazo ya kujadili mambo kama mpira huku Nchi ikiuzwa,hivi nyie wagalatia nani amewaroga?