Kumbe Barnaba alimtema Shilole baada ya kumtwisha zigo la kumlelea watoto wake!

Kumbe Barnaba alimtema Shilole baada ya kumtwisha zigo la kumlelea watoto wake!

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2009
Posts
42,872
Reaction score
34,363
Baada ya siku nyingi kupita tangu Shilole na Barnaba watemane, imebainika kuwepo kwa siri kubwa zilisababisha wawili hao watemane.

Chanzo cha karibu na Barnaba kimedai kuwa sababu zilizosababisha wawili hao kutemana ni pale shilole alipodanganya umri wake na kumwachia Barnaba jukumu la kumlelea watoto wake.

"Suala la kulea watoto wasio wa kwake lilikuwa ni gumu sana kwa Barnaba kwani wakati huo ndo kwanza alikuwa anaanza maisha na hakuwa na uwezo wa kumhudumia mtu na wanae"..Kilisema chanzo hicho.

Chanzo hicho kiliendelea kufunguka kuwa Shilole ndiye aliye mtongoza Barnaba kwa staili ya kumdanganya umri huku akimweleza kuwa swala la watoto wake lilikuwa linasimamiwa na baba yao.

Habari zinadai kwamba, baada ya Barnaba kuingizwa mkenge, penzi lao lilikuwa kwa kasi sana huku Shilole akijitahidi kuuficha ukweli kwa muda mrefu.

"Cha ajabu ni kwamba, kadri siku zilivyozidi kusonga mbele, Shilole alijisahau na kuanza kumwachia mzigo wa kuilea familia yote.

"Aidha, Shilole aliusahau uongo wake na akajichanganya kutoa historia ya maisha yake katika gazeti moja la udaku ambako alitaja umri wake halisi huku akisimulia jinsi alivyobakwa hadi kupata mimba.Jambo hilo lilimstua sana Barnaba"..
Kilisema chanzo hicho na kuongeza:

"Kipengele cha kubakwa kilimchanganya sana Barnaba akawa anajiuliza, kama alibakwa na kupata mtoto,matunzo ya mtoto anayapataje kwa mtu aliyembaka

"Tukio hilo lilo lilimfanya Barnaba apoteze imani na ndipo alipoanza alipoanza kutafuta visa vya kumtema Shilole"

Shilole alipotafutwa kuzungumzia suala hilo hakuweza kutoa ushirikiano wa kutosha.
 
Kubakwa sio kosa lake alikosea aliposema uongo kuhusu matunzo ya mtoto
 
Kuhusu kubakwa hapo hana kosa, pia umri sio ishu saaaana coz mapenzi hayana umri, kosa lake labda kutokuwa mkweli.Kimsingi sijaona sababu ya maana ya Barnaba kumuacha huyo KAHABA,kutakuwa na mengine tusiyoyajua zaidi ya haya yaliyotajwa.
 
:nono😡MziziMkavu mara nyingi huwa unaleta mabandiko ambayo kutoka kwenye magazeti ya udaku:suspicious:...whats up, sisi tumekuzoea kwenye lile jukwaa la afya na zile tiba mbadala ila siku za hivi karibu naona umetubadilishia ladha:A S-confused1:
 
Here kumbe hawa nao walishakuwa wapenzi? Shilole ana kaumalaya flani na anapenda wanaume wenye maumbo madogo au wadogo kwake.
 
🤣🤣🤣 mwenyewe nikeshangaa knm.
Basi huyu demu mashine mbovu sana maana ukihesabu wanaojulikana ukiacha waliomzalisha wale watoto list imesheheni.

Hapo bado zile kamata kamchine (one night stand and no strings attached) ambazo mademu huwa hawazisemagi Ila ndio wanapigwa sana hizi.
 
Basi huyu demu mashine mbovu sana maana ukihesabu wanaojulikana ukiacha waliomzalisha wale watoto list imesheheni.

Hapo bado zile kamata kamchine (one night stand and no strings attached) ambazo mademu huwa hawazisemagi Ila ndio wanapigwa sana hizi.
Halua haina makombo, kumbe wewe ndiye mfukua makaburi.
 
Halua haina makombo, kumbe wewe ndiye mfukua makaburi.
Ila mbususu Ina makombo bishala. Leteni umbea mpya bana maana huu mtaa hauna wambea kabisa la sivyo jukwaa lifungwe watuwekee jukwaa la wakubwa tulete mavituuuuzzz. Au sio bibie?
 
Halafu sikujua kwamba huyu mwenye mbususu ya Taifa alishapita na Barnabas
 
I think she's doing good and you're just mfn jealous. Kumuona Shishi Food doesn't mean she can give you a pussy bro! What I see here isn't a respect. And most of African men don't respect women. I can tell you're the one too.
Vipi mbona makasiriko? Tatizo la vijana mliolelewa na single moms mnakuwa na oestrogen kama za mama zenu. Bloody fool.

Respect men I mean real men pia walisema ni bushuti haimaanishi haliki, Ila kila mtu ale nyama anayopenda. Mshazoea kila mwanaume analetwa kwenu mnamuita uncle. Pia respect your fathers.

Acha uxng
 
Vipi mbona makasiriko? Tatizo la vijana mliolelewa na single moms mnakuwa na oestrogen kama za mama zenu. Bloody fool.

Respect men I mean real men pia walisema ni bushuti haimaanishi haliki, Ila kila mtu ale nyama anayopenda. Mshazoea kila mwanaume analetwa kwenu mnamuita uncle. Pia respect your fathers.

Acha uxng

Spana ya ugoko hiii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom