Kumbe Barrick wataanza kulipa kodi 2014? Mungu wangu tumerogwa au?

Tatizo si kuwa au kutokuwa na wasomi............ NI WEZI TULIONAO
 
Mi nashauri wana jamvi A.K.A GREAT THINKERS tuchukue muda kidogo kufanya kautafiti hata kwenye google ili tujue system za migodi na ni muda gani wanaanza kupata faida ili walipe kodi.
All i know is hawa jamaa wanatumia gharama kubwa sana kujenga mgodi mmoja pamoja na machine zake+employees, KITU AMBACHO NCHI YETU HAIWEZI KUFANYA(HATUNA HUO MTAJI). SO INAWACHUKUA MUDA PIA KUANZA KUINGIZA FAIDA ILI WALIPE KODI. ZAIDI WANALIPA MLAHABA AU LOYALTY kama cjakosea.
mapenzi yangu
 

Underlied in red:

Pamoja na Tulawaka.
 

Cheif umeme unaotumika Buly ni extention ya national grid iliyogharamiwa na Barrick 100%. Hamna mgodi wenye exemption ya bili ya umeme, as a matter of fact Barrick is TANESCO's biggest client.

Swali la kuuliza ni hili; kama hawa mabwana wametumia zaidi ya dola milioni 100 kati ya 2006-10 kupanua gridi ya taifa hizo hela walizo -ooffset zimetumikaje?

Regarding mikataba, wanaposaini mikataba kunakua na representative wa pande zote. Jiulize, who was representing you? The mining company or the government? Ukishapata jibu sasa jiulize tena, who should I look to if i feel that I have been short changed?

Bila kujiuliza haya maswali ya msingi, tutajikuta tunapiga kelele bila ya kuwa na mkakati wa kuhakikisha Tanzania gets what is due.
 
hasira inanijaa sana nisomapo hizi habari na bado mtawala mmoja anasema haelewi kwanini tanzania ni maskini
naweza ishia vunja keyboard,kweli yatubidi tukomae na hii ccm hawana faida ni wauaji wakubwa!!
ni heri tungefunga migodi yote nchini then tukae chini tusubiri lau watokee waadilifu wenye uchungu wa nchi
walifanyie kazi!!
Lord God have mercy on us,shghulika na hawa wasini mikataba ya kimafia namna hii!
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…