kumbe Basi jibya la yanga ni YUTONG!

chivala

JF-Expert Member
Joined
Apr 13, 2021
Posts
772
Reaction score
2,332
Wakuu najuwa tu, huenda baadhi yetu mkaona uzi huu hapa nimeuvuta kiushabiki, la hasha! ila ni kwa kuzingatia usalama wa wachezaji na viongozi wa yanga, kutokana na jinsi Gari za kichina zinavokosolewa kwa usalama wake mdoga, haswa Mabasi haya ya YUTONG yanatabia ya ubovu wa kuwaka moto. Tahadhari ni njema kabla ya hatari.

 
Hizo kazi za kijana mmoja graphics anajicall kareem Design KD instagram ...ya kitambo sana
 
Kazi ya bwana mdogo mmoja hiyo.

 
Tata yenye bawaba ya mlango wa nyumba ktk mlango wake ni kama mmaikataa ila yenyewe inawataka..
 
Kutoka SCANIA mpaka yuutongo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Safi sana kwake injinia kwa kuwapumbaza mazuzu washindwe kumuuliza kwanini wamekosa ubingwa mwaka huu!,kama alivyoyaahidi hawa mazuzu.
 
Tunashukuru kwa taarifa, Mkuu wa ushauri wa mambo ya kijinga na kipumbavu
 
We mbumbu hiyo siyo yutong ni higer hiyo
 
Basi limeandikwa higer wewe unaandika yutong
 
Hiyo ni idea tu ya jamaa mmoja ni designer, kazi zake huweka instagram...sio kweli ni basi halisia
 
Hiyo ni idea tu ya jamaa mmoja ni designer, kazi zake huweka instagram...sio kweli ni basi halisia
Mabasi yote ni halisi, tafauti ubora na mabasi ya kichina hayapo kwenye viwango va ubora wa kimataifa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…