warthog gun
JF-Expert Member
- Aug 9, 2018
- 1,466
- 1,260
Mkuu huyu jamaa ni mtu was Bata na madem, kwa hiyo mafanikio kwenye biashara kwake itakua ndoto
Huyo ndo ontario bhana yuko njema sana kichwaniChukua hiyoView attachment 1101335
Hujui principle za biashara kaa kimyaUkiwa mtu wa mademu ndo watu hawaji kununua bidhaa? Acha akili za wakoloni
Ontario.
Kwa kweli nilishafungua duka kkoo, majirani wa kaniambia nikapulize ila imani yangu haniruhusu na sinto kaa kufanya hayo mambo... Biashara haiku last mwaka nilifunga nikawa acha wapulizaji huko..Nilifungua banda la chips mambo yakawa hivi:
Nikawaajili madogo wawili wakawa wanasimamia,
Siku ya kwanza madogo wakaniambia wameuza elf 48 na viazi vimeisha, kwa kifupi biashara ilikuwa poa
Siku ya pili madogo wakanikabidhi elf sitin na kitu (achilia mbali ganji zao na zile ndogo ndogo walizokuwa wananipiga)...nikajua mambo ni mazuri...
Bwanaweee..!!!!
Mauzo yakaanza kupungua,
Mara wameuza elfu 20,
Mara wameuza elf kumi na kitu
Mara chips na mishikaki vimelala
Mara mauzo hayafiki hata elf kumi...nikiwauliza vijana kulioni ,wananiambia hata wao hawajui
Siku ya siku dogo mmoja ambaye ndo kama alikuwa incharge pale..akaniambia ameenda kwa mtaalam ameambiwa banda limepigwa giza..na jamaa mmoja hivi ambaye nae alikuwa na banda lake la chips karibu yetu...nikachoka kabisa
Dogo akaniambia inabidi nasisi tukawange ila mambo yaende vizuri...sababu sikutilia maanani biashara ika-collapse kabisa..
Nikafungua saloni ya kiume...mambo yakawa yale yale naishia tu kulipa kodi ya chumba (maana nilikuwa napewa elf 28 kwa wiki..ambapo per day ni elf 4)..salon ipo mpaka sasa lakini kiujumla mambo ni magumu...
Nikafungua na kijiwe cha kuchoma vyuma (welding workshop) nako naona hali ni tete
Lakini nikiwauliza wadau..wanasema hizi ngoma bila kupuliza ni mziki
Biashara ukiiendea kichwakichwa unapoteza time and resources at the same time.
Yani business bila ndumba ni kazi yani hautoboiKwa kweli nilishafungua duka kkoo, majirani wa kaniambia nikapulize ila imani yangu haniruhusu na sinto kaa kufanya hayo mambo... Biashara haiku last mwaka nilifunga nikawa acha wapulizaji huko..
Nakumbuka kwenye ile eneo letu la maduka nilisikia kuna mmama mwenye duka hapo alikua anakuwa wakwanza kufika anafagia eneo lote mwenyewe hata pasipo muhusu anakusanya mchanga, sijui anaupeleka wapi
Hivi biashara hayo mambo ya kiganga ndo misingi yake ama?
Mkuu hizo biashara zote ulizofungua ulikua unasimamia mwenyewe au ulikua zote unaweka watu?Nilifungua banda la chips mambo yakawa hivi:
Nikawaajili madogo wawili wakawa wanasimamia,
Siku ya kwanza madogo wakaniambia wameuza elf 48 na viazi vimeisha, kwa kifupi biashara ilikuwa poa
Siku ya pili madogo wakanikabidhi elf sitin na kitu (achilia mbali ganji zao na zile ndogo ndogo walizokuwa wananipiga)...nikajua mambo ni mazuri...
Bwanaweee..!!!!
Mauzo yakaanza kupungua,
Mara wameuza elfu 20,
Mara wameuza elf kumi na kitu
Mara chips na mishikaki vimelala
Mara mauzo hayafiki hata elf kumi...nikiwauliza vijana kulioni ,wananiambia hata wao hawajui
Siku ya siku dogo mmoja ambaye ndo kama alikuwa incharge pale..akaniambia ameenda kwa mtaalam ameambiwa banda limepigwa giza..na jamaa mmoja hivi ambaye nae alikuwa na banda lake la chips karibu yetu...nikachoka kabisa
Dogo akaniambia inabidi nasisi tukawange ila mambo yaende vizuri...sababu sikutilia maanani biashara ika-collapse kabisa..
Nikafungua saloni ya kiume...mambo yakawa yale yale naishia tu kulipa kodi ya chumba (maana nilikuwa napewa elf 28 kwa wiki..ambapo per day ni elf 4)..salon ipo mpaka sasa lakini kiujumla mambo ni magumu...
Nikafungua na kijiwe cha kuchoma vyuma (welding workshop) nako naona hali ni tete
Lakini nikiwauliza wadau..wanasema hizi ngoma bila kupuliza ni mziki
Biashara ukiiendea kichwakichwa unapoteza time and resources at the same time.
Niliweka watu mkuu....Mkuu hizo biashara zote ulizofungua ulikua unasimamia mwenyewe au ulikua zote unaweka watu?
Yani hata kwenye maisha huwez kuwa katikati, it's either uwe na dini sana au uwe wa ndumba... Katikati huwez kufanikiwa utaishi maisha ya katikati ya kuunga unga tu....huwez kuwa kama Bakhresa/mengi/makonda etc.60% naamini biashara bila ya ndumba huwezi kutoboa na kama huwezi ndumba basi uwe na imani Kali kweli kweli bila kuyumba!
[emoji23][emoji23][emoji23]Kwa mara ya Akwanza nimejaribu kufanya biashara serious. Aisee yapata mwezi sasa ila sijawahi ona faida.
Nimeamini ukiona mtu amefanikiwa kwenye biashara mheshimu sana.
AiseeMkuu huyu jamaa ni mtu was Bata na madem, kwa hiyo mafanikio kwenye biashara kwake itakua ndoto
Nilifungua banda la chips mambo yakawa hivi:
Nikawaajili madogo wawili wakawa wanasimamia,
Siku ya kwanza madogo wakaniambia wameuza elf 48 na viazi vimeisha, kwa kifupi biashara ilikuwa poa
Siku ya pili madogo wakanikabidhi elf sitin na kitu (achilia mbali ganji zao na zile ndogo ndogo walizokuwa wananipiga)...nikajua mambo ni mazuri...
Bwanaweee..!!!!
Mauzo yakaanza kupungua,
Mara wameuza elfu 20,
Mara wameuza elf kumi na kitu
Mara chips na mishikaki vimelala
Mara mauzo hayafiki hata elf kumi...nikiwauliza vijana kulioni ,wananiambia hata wao hawajui
Siku ya siku dogo mmoja ambaye ndo kama alikuwa incharge pale..akaniambia ameenda kwa mtaalam ameambiwa banda limepigwa giza..na jamaa mmoja hivi ambaye nae alikuwa na banda lake la chips karibu yetu...nikachoka kabisa
Dogo akaniambia inabidi nasisi tukawange ila mambo yaende vizuri...sababu sikutilia maanani biashara ika-collapse kabisa..
Nikafungua saloni ya kiume...mambo yakawa yale yale naishia tu kulipa kodi ya chumba (maana nilikuwa napewa elf 28 kwa wiki..ambapo per day ni elf 4)..salon ipo mpaka sasa lakini kiujumla mambo ni magumu...
Nikafungua na kijiwe cha kuchoma vyuma (welding workshop) nako naona hali ni tete
Lakini nikiwauliza wadau..wanasema hizi ngoma bila kupuliza ni mziki
Biashara ukiiendea kichwakichwa unapoteza time and resources at the same time.
Swala la ndumba bwana kuna watu wana vitu yaan[emoji23][emoji23][emoji23]