Salamander
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 28,536
- 15,746
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukamwona yuko sawa?
Mara nyingi waliobanguka hawajijui,na hata ukiwaambia wanachukia,labda ni mmoja wao.Upi ubaya wa Bangi. Nimetumia, huu mwaka wa 32 sijapata madhara yoyote.
Haswa, nenda kwenye hostali huko Islael ukajionee mwenyewe, halafu tuone kama utaendelea na ubishi wako!Niende hostali Islael?
Niende hostali Islael?
Ndio,lakini yanamadhara.Kwani Bangi si majani tu?
Gajin ndugu yangu,bangi mbaya,mbona unaipigia debe sana?unauza nini?Kuliko sigara?
Kuliko konyagi?
Kuliko sigara?
Kuliko konyagi?
Kamuulize huyu bwana kama bangi ina madhara!.
![]()
Snoop Dogg crossed over to Rastafarian church, being christened as Snoop Lion. PHOTO: REUTERS