kumbe chui aliyetawala Zaire alikufa akiwa amekwisha tubu dhambi zake

kumbe chui aliyetawala Zaire alikufa akiwa amekwisha tubu dhambi zake

PYU

JF-Expert Member
Joined
Oct 3, 2012
Posts
201
Reaction score
42
shalom wana jamvi wenzangu.

leo nimebahatika kumsikia live mmoja kati ya watoto wa hayati mobutu sese seko. kweli inaonyesha watawala wa kiafrika zamani walikuwa mungu mtu.

katika mahubiri yake kanisani kwetu hapa arusha mchungaaji Prince Mobutu ameshuhudia jinsi alivyoponda maisha kabla ya kukutana na mwanaume wa nazareti na kuokoa maisha yake, kumbe katika nyumba za viongozi wetu kuna majopo ya wagaga wa mataifa mbalimbali kwa ajili ya kutoa ulinzi wa kishetani katika nyumba zao.

Amesema hata nyumbani kwao walikuwepo wagaga kutoka zaire,tanzania,china,nigeria,nasikia pia dawa za wagaga wa tanzani zina nguvu sana.natamani watoto wa baba wa taifa, mzee mwinyi, mkapa, na kikwete wafuate nyayo za mchungaji prinnce mwenye kanisa lake nchini ufaransa za kukataa mali za baba yake na kuamua kuanza maisha upya, natamani upate nafasi ya kumsikiliza live wewe mwenyewe, aliokolewa toka madawa ya kulevya na ngono zisizo na mipaka,pia alikuwa mtumishi wa shetani.

Mwisho amesema baba yake kuna kipindi alipiga marufuku makanisa yote ya kilokole jambo lilopelekea mungu ampige kwa miaka miwili kukosa usingizi,wagaga wote walishindwa kumpatia tiba, mpaka pale mchungaji wake na prince kwenda kumuombea sababu prince aliokolewa kabla ya baba yake kuanza kuugua.

Prince amesema anaamini baba yake alikufa akiwa mlokole sababu ya maombi aliyopewa na mchungaji wake. na baada ya kupona mobutu sese seko alitoa kibali kwa makanisa ya kilokole tena nchi nzima.
 
  • Thanks
Reactions: Ctr
Aiseee nimemsikia wiki iliopta kwa mama rwakatare alitutoa macho na mdomo wazi mkuu mwisho Mungu alikua uokoa wale wenye dhambi
 
ila ni kwa imani tu mambo hayo yanawezekana
 
kumbe kaokoka baada ya Mobutu kuugua na waasi kuanza kuchanja mbuga! Kila jambo na wakati wake
 
shalom wana jamvi wenzangu.

leo nimebahatika kumsikia live mmoja kati ya watoto wa hayati mobutu sese seko. kweli inaonyesha watawala wa kiafrika zamani walikuwa mungu mtu.

katika mahubiri yake kanisani kwetu hapa arusha mchungaaji Prince Mobutu ameshuhudia jinsi alivyoponda maisha kabla ya kukutana na mwanaume wa nazareti na kuokoa maisha yake, kumbe katika nyumba za viongozi wetu kuna majopo ya wagaga wa mataifa mbalimbali kwa ajili ya kutoa ulinzi wa kishetani katika nyumba zao.

Amesema hata nyumbani kwao walikuwepo wagaga kutoka zaire,tanzania,china,nigeria,nasikia pia dawa za wagaga wa tanzani zina nguvu sana.natamani watoto wa baba wa taifa, mzee mwinyi, mkapa, na kikwete wafuate nyayo za mchungaji prinnce mwenye kanisa lake nchini ufaransa za kukataa mali za baba yake na kuamua kuanza maisha upya, natamani upate nafasi ya kumsikiliza live wewe mwenyewe, aliokolewa toka madawa ya kulevya na ngono zisizo na mipaka,pia alikuwa mtumishi wa shetani.

Mwisho amesema baba yake kuna kipindi alipiga marufuku makanisa yote ya kilokole jambo lilopelekea mungu ampige kwa miaka miwili kukosa usingizi,wagaga wote walishindwa kumpatia tiba, mpaka pale mchungaji wake na prince kwenda kumuombea sababu prince aliokolewa kabla ya baba yake kuanza kuugua.

Prince amesema anaamini baba yake alikufa akiwa mlokole sababu ya maombi aliyopewa na mchungaji wake. na baada ya kupona mobutu sese seko alitoa kibali kwa makanisa ya kilokole tena nchi nzima.

Kama alikufa akiwa MLOKOLE kwanini alikimbilia MOROCCO? kwanini asiende UFARANSA? na kwanini asiruhusu pesa zake zilizoko USWISI zisirudishew kwa Wananchi wa ZAIRE ni DOLA BILLIONI 20; Majumba France na Belgium...

Kweli Mfa Maji haachi kutapatapa... Sasa Mwanae aliachiwa kiasi gani???

It is damn easy to fool us African's
 
Porojo Kama hizo zinanoga zaidi kwenye vilinge vya wapapia gongo.
 
Kama alikufa akiwa MLOKOLE kwanini alikimbilia MOROCCO? kwanini asiende UFARANSA? na kwanini asiruhusu pesa zake zilizoko USWISI zisirudishew kwa Wananchi wa ZAIRE ni DOLA BILLIONI 20; Majumba France na Belgium...

Kweli Mfa Maji haachi kutapatapa... Sasa Mwanae aliachiwa kiasi gani???

It is damn easy to fool us African's

si nimesema aliachana na mali zote za baba yake. kwa sasa anaishi kama mchungaji anayetengemezwa kwa sadaka.
 
Ukiokoka inabidi uache malí zote? Unataka watoto wakina mkapa, mwinyi, na kikwete waokoke waache mali za baba zao? Itakua tunasoma Biblia tofauti ni Biblia ipi inasupport umasikini?Akina rwakatare, kakobe, na lusekelo wanachukua hata kile kidogo cha waumini wao na kuwaacha watupu afu wao wanazidi kua matajiri, sijui nao wanaotoa wanaakili gani.
 
si nimesema aliachana na mali zote za baba yake. kwa sasa anaishi kama mchungaji anayetengemezwa kwa sadaka.

Umeongelea kuwa Baba yake pia aliokoka??? Au la? Umesema huyo kijana anaamini baba yake alikufa akiwa Mlokole... Mimi nasema ndio Maana alikimbilia kufia MOROCCO? na bado hakuruhusu pesa alizoiba kurudishwa kwa Wananchi wa ZAIRE kila mtu anatafuta Umashuhuri kiudikteta; KILA MTU ATABEBA MZIGO WAKE MWENYEWE
 
si nimesema aliachana na mali zote za baba yake. kwa sasa anaishi kama mchungaji anayetengemezwa kwa sadaka.

Kwa hiyo mlimpa sadaka bei gani?kweli wajinga ndio waliwao,kwanza sidhani km mobutu alikua na mtoto anaitwa prince😱
 
Ukiokoka inabidi uache malí zote? Unataka watoto wakina mkapa, mwinyi, na kikwete waokoke waache mali za baba zao? Itakua tunasoma Biblia tofauti ni Biblia ipi inasupport umasikini?Akina rwakatare, kakobe, na lusekelo wanachukua hata kile kidogo cha waumini wao na kuwaacha watupu afu wao wanazidi kua matajiri, sijui nao wanaotoa wanaakili gani.

tuko pamoja.nilicho maanisha ni mali za kifisadi kama zao ni halali then no problem kabisa. pia si kweli watu wanakamuliwa kwani ni uhuru wa mtu kumtolea mungu kwa upendo.
 
Ukiokoka inabidi uache malí zote? Unataka watoto wakina mkapa, mwinyi, na kikwete waokoke waache mali za baba zao? Itakua tunasoma Biblia tofauti ni Biblia ipi inasupport umasikini?Akina rwakatare, kakobe, na lusekelo wanachukua hata kile kidogo cha waumini wao na kuwaacha watupu afu wao wanazidi kua matajiri, sijui nao wanaotoa wanaakili gani.


Washafanywa mazezeta hawaelewi A wala B!
 
shalom wana jamvi wenzangu.

leo nimebahatika kumsikia live mmoja kati ya watoto wa hayati mobutu sese seko. kweli inaonyesha watawala wa kiafrika zamani walikuwa mungu mtu.

katika mahubiri yake kanisani kwetu hapa arusha mchungaaji Prince Mobutu ameshuhudia jinsi alivyoponda maisha kabla ya kukutana na mwanaume wa nazareti na kuokoa maisha yake, kumbe katika nyumba za viongozi wetu kuna majopo ya wagaga wa mataifa mbalimbali kwa ajili ya kutoa ulinzi wa kishetani katika nyumba zao.

Amesema hata nyumbani kwao walikuwepo wagaga kutoka zaire,tanzania,china,nigeria,nasikia pia dawa za wagaga wa tanzani zina nguvu sana.natamani watoto wa baba wa taifa, mzee mwinyi, mkapa, na kikwete wafuate nyayo za mchungaji prinnce mwenye kanisa lake nchini ufaransa za kukataa mali za baba yake na kuamua kuanza maisha upya, natamani upate nafasi ya kumsikiliza live wewe mwenyewe, aliokolewa toka madawa ya kulevya na ngono zisizo na mipaka,pia alikuwa mtumishi wa shetani.

Mwisho amesema baba yake kuna kipindi alipiga marufuku makanisa yote ya kilokole jambo lilopelekea mungu ampige kwa miaka miwili kukosa usingizi,wagaga wote walishindwa kumpatia tiba, mpaka pale mchungaji wake na prince kwenda kumuombea sababu prince aliokolewa kabla ya baba yake kuanza kuugua.

Prince amesema anaamini baba yake alikufa akiwa mlokole sababu ya maombi aliyopewa na mchungaji wake. na baada ya kupona mobutu sese seko alitoa kibali kwa makanisa ya kilokole tena nchi nzima.

Maelezo ni mazuri sana amekuambia na lile zindiko alilofanyiwa asipigwe risasi nalo ameliondoa? na baada ya maelezo hayo mlipata sadka kiasi gani? NATUNGULIZA LAWAMA KWA MATARAJIO KUWA UTANIJIBU TOFAUTI NA SWALI LANGU
 
Aiseee nimemsikia wiki iliopta kwa mama rwakatare alitutoa macho na mdomo wazi mkuu mwisho Mungu alikua uokoa wale wenye dhambi

MPELEKENI AKAMBATIZE RIDHWANI; pengine nae atatusimulia waganga wa kutoka West Africa baba MwanaAsha aliowaleta kumlinda!!
 
Inakuaje kama naokoka halafu nina mali ambazo nimechuma kwa nguvu zangu nazo naziuacha zote naanza upya from scratch?
 
No.inategemea mungu amekuambia nini?
 
Inakuaje kama naokoka halafu nina mali ambazo nimechuma kwa nguvu zangu nazo naziuacha zote naanza upya from scratch?
No inategemea Mungu amekuambia nini? na chochote atakachokuambia ndani yako utapata amani kubwa sana,na kama hakuna amani ndani ya moyo wako acha usifanye uamuzi wowote
 
Back
Top Bottom