Kumbe 'CV`zilianza zamani!

Kimwakaleli

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2018
Posts
7,755
Reaction score
11,737
1Samwel 17.Daudi akamwambia Sauli,Asizimie moyo mtu yoyote kwa ajili ya huyu(Goliathi),`Mimi mtumishi wako nitakwenda kupigana na mfilisti huyu.Sauli akamwambia Daudi, Huwezi wewe kumwendea mfilisti huyu upigane naye,Maana wewe u kijana tu,Nahuyu ni mtu wa vita tangu ujana wake(cv).Daudi akamwambia Sauli,mtumishi wako alikuwa akichunga kondoo za baba yake,na alipokuwa akija Simba,au dubu,akamkamata mwana-kondoo wa lile kundi,mimi hutoka nikamfuata,nikampiga,nikampokonya kinywani mwake;na(cv) akinirukia;humshika ndevu zake(cv)nikampiga(cv),nikamuua(cv).Mtumishi wako alimuua simba na dubu pia;na huyu mfilisti asiyetahiriwa(cv)atakuwa kama mmoja wao,kwa sababu amewatukana majeshi ya Mungu aliye hai.Mnaweza kuendelea kusoma yote mwanzo mwisho.Ahsanteni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…