Kumbe deni linastahimili kutokana na utajiri wa mali kama madini, gesi

MakinikiA

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2017
Posts
5,104
Reaction score
6,827
Hakika kweli mabeberu wanatufanyia timing tu waafrika na watakaa tena kama walivyogawana makoloni safari hii watafanya minada kwa nchi za Afrika zikifikia madeni ya trillion zaidi ya 100.

Tuendele kukopa kulipa mishahara minono na magari ya kifahari !!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…