Kumbe Diamond Karanga Diamond ni balozi! Mali ni ya Joseph Kusaga

Kumbe Diamond Karanga Diamond ni balozi! Mali ni ya Joseph Kusaga

Bwana Mapesa

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2011
Posts
2,551
Reaction score
1,777
Kumbe ndugu yetu Naseeb is a mere ambassador a.k.a Balozi mzee Baba Joseph Kusaga Kausika Jionee video uamini.

 

Attachments

  • 20180211_010837.png
    20180211_010837.png
    190.3 KB · Views: 175
  • 20180211_010802.png
    20180211_010802.png
    184.7 KB · Views: 190
  • 20180211_010734.png
    20180211_010734.png
    176.3 KB · Views: 163
  • 20180211_010707.png
    20180211_010707.png
    91.2 KB · Views: 152
  • 20180211_010639.png
    20180211_010639.png
    205.5 KB · Views: 204
  • 20180211_010605.png
    20180211_010605.png
    152.7 KB · Views: 146
  • 20180211_010514.png
    20180211_010514.png
    170.9 KB · Views: 217
Lini alitamka au kuandika ni mali yake?

Mbona inajulikana kuwa anavuta pesa ndefu sana kila mwezi kufanya anayofanya..

Nilisoma mahala ni 30m tshs kwa mwezi ndio maana anayofanya hayashangazi juu ya karanga hizo. Na zinauzika sana sana.. hata jana nilijikuta nanunua liboksi lote tena..

Hata kama analipwa au ana shares.. wengine ndio inabidi kuiga mfano wa kuingiza kipato.. kuna mengi duniani
 
Ila hii video ya hao ilirushwa zamani insta hata na Joe mwenyewe.. sema watu wabongo kufikiria nje ya boksi na kuelewa ni shida.. ingeambatana namaneno ya udaku au machafu.. mngeshayajua muda mrefu umepita.. mazuri ya kujifunza na kujiongeza wengi mitandaoni wanaingia kama vipofu.. inasikitisha
 
Ila hii video ya hao ilirushwa zamani insta hata na Joe mwenyewe.. sema watu wabongo kufikiria nje ya boksi na kuelewa ni shida.. ingeambatana namaneno ya udaku au machafu.. mngeshayajua muda mrefu umepita.. mazuri ya kujifunza na kujiongeza wengi mitandaoni wanaingia kama vipofu.. inasikitisha
Leo nimekupendraaa bureeee...[emoji8] [emoji8]
 
Lini alitamka au kuandika ni mali yake?

Mbona inajulikana kuwa anacuta pesa ndefu sana kila mwezi kufanya anayofanya..

Nilisoma mahala ni 30m tshs kwa mwezi ndio maana anayofanya hayashangazi juu ya karanga hizo. Na zinauzika sana sana.. hata jana nilijikuta nanunua liboksi lote tena..

Hata kama analipwa au ana shares.. wengine ndio inabidi kuiga mfano wa kuingiza kipato.. kuna mengi duniani
hivi boksi zima ni sh ngapi
 
Leo nimekupendraaa bureeee...[emoji8] [emoji8]

Oyeeeee
Wawekezaji hao wamepewa kampuni ya karanga na wadaku.. makubwa ambayo labda wamekubali kuwekeza watu hawataki kujua hata kama kuna ajira.. wanataka kumsema Chibu tu huku yeye pesa zinaingia benki.. ndio nchi yetu hii ina watu wengi kitukoooo

hivi boksi zima ni sh ngapi

Sikumbuki.
 
Lini alitamka au kuandika ni mali yake?

Mbona inajulikana kuwa anacuta pesa ndefu sana kila mwezi kufanya anayofanya..

Nilisoma mahala ni 30m tshs kwa mwezi ndio maana anayofanya hayashangazi juu ya karanga hizo. Na zinauzika sana sana.. hata jana nilijikuta nanunua liboksi lote tena..

Hata kama analipwa au ana shares.. wengine ndio inabidi kuiga mfano wa kuingiza kipato.. kuna mengi duniani
Positive mentality... Like that... Sio watu wanakalia majungu tu ila chambichambi hawazisaki...
 
Lini alitamka au kuandika ni mali yake?

Mbona inajulikana kuwa anacuta pesa ndefu sana kila mwezi kufanya anayofanya..

Nilisoma mahala ni 30m tshs kwa mwezi ndio maana anayofanya hayashangazi juu ya karanga hizo. Na zinauzika sana sana.. hata jana nilijikuta nanunua liboksi lote tena..

Hata kama analipwa au ana shares.. wengine ndio inabidi kuiga mfano wa kuingiza kipato.. kuna mengi duniani



Acha uongo
 
Back
Top Bottom