Acha uongo
Sometimes you are very beautiful CocoLini alitamka au kuandika ni mali yake?
Mbona inajulikana kuwa anacuta pesa ndefu sana kila mwezi kufanya anayofanya..
Nilisoma mahala ni 30m tshs kwa mwezi ndio maana anayofanya hayashangazi juu ya karanga hizo. Na zinauzika sana sana.. hata jana nilijikuta nanunua liboksi lote tena..
Hata kama analipwa au ana shares.. wengine ndio inabidi kuiga mfano wa kuingiza kipato.. kuna mengi duniani
Mzee wa ndumba na ww unajuwa ma beatfull?Sometimes you are very beautiful Coco
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] mzee baba ile kitu haina muamanaMzee wa ndumba na ww unajuwa ma beatfull?
😀😀😀
Kumbe ndugu yetu Naseeb is a mere ambassador a.k.a Balozi mzee Baba Joseph Kusaga Kausika Jionee video uamini.
View attachment 693743View attachment 693744View attachment 693745View attachment 693746View attachment 693747View attachment 693748View attachment 693749
Point safi Leo umekuwa na positive thinking nimekusapoti kwa mara ya kwanzaLini alitamka au kuandika ni mali yake?
Mbona inajulikana kuwa anacuta pesa ndefu sana kila mwezi kufanya anayofanya..
Nilisoma mahala ni 30m tshs kwa mwezi ndio maana anayofanya hayashangazi juu ya karanga hizo. Na zinauzika sana sana.. hata jana nilijikuta nanunua liboksi lote tena..
Hata kama analipwa au ana shares.. wengine ndio inabidi kuiga mfano wa kuingiza kipato.. kuna mengi duniani