Kumbe Diamond Karanga Diamond ni balozi! Mali ni ya Joseph Kusaga

ila wabongo mostly ni wachawi..yani wasione mwenzao kupiga hatua ya maendeleo..ni full majungu...sasa hizo karanga ziwe za huyo sijui ndio diamond au zisiwe zake..we inakuhusu nini?
 
Acha uongo

Eeeeeeeeh
Sasa uongo au ukweli kwangu nafaidika nini na habari za celeb wa TZ?.. pita huko acha tuburudike na kusukuma watu wajitokeze kutoka pangoni.. na habari. Huoni aibu eti uongo na husemi lolote.. eeeeh hii ID umenimisi hasi umeshindwa kuiachia na kuapa kote siku ile kwenye uzi ule.. ulimisika babu.. ukomwe kuapa ovyo.
 
Sometimes you are very beautiful Coco
 
Binadamu badala Ya Kijifunza Biashara Zinavyofanyika Mnaaleta Chuki... Mbona Biashara Za Madawa Ya Kulevya Zinafanywa Na Wamiliki hawajulikani Hamtoki mapovu...

Ndo Ujue Kijana Diamond Ana Akili za Madili Kuliko Haters wa Humu....
 
Pana watu wamepata ajira kupitia jina la huyo ALMAS kwa kuitangaza hiyo bidhaa awe ana hisa au anapewa kamisheni yote kheir mwisho wa siku kitu fulani ni bora kuliko kisichokuwepo. Wengine hata huo uwezo wa kupewa kamisheni hatuna vijana tuchape kazi haya mambo ya kuzodoana na kufikiriana mabaya hayatusaidii.
 
Kuna watu hua wanaanzisha post kwa kuonekana tu wameanzisha uzi kumbe ndsni ya uzi ni ushuzi,usikute mwanzisha uzi ni bonge la bwege but kucha kutwa kufatilia maisha ya watu,fanya kazi wewe,ziwe zake ama si zake bado kwako haina tija,zaidi unaumia wewe tu kwa chuki.
 
Point safi Leo umekuwa na positive thinking nimekusapoti kwa mara ya kwanza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…