Hahaha nimecheka kweli mkuuEinstein familia tu aliona mzigo akaiacha kisa ubize na relativity yake..Leo umpe urais
hahahaaa hiii Kali...duuuhhh kweli alikuwa amevurugwa ...Einstein familia tu aliona mzigo akaiacha kisa ubize na relativity yake..Leo umpe urais
Hata hivyo urais wa Israel ni ceremonial tu.
Na ndo maana kila mara unamsikia waziri mkuu wa Israel na si rais wa Israel.
TehHahaha daby mada zako mapenzi tyu ila mengine mweupe kabixa,kabila lako ni akina mahondaw na smart99,hongera kwa kujarb ila bado sana hamna jipya hapo