Kachanchabuseta
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 7,264
- 678
Marando afyatua kombora Jangwani
Alipotakiwa kufafanua walikiukaje maadili hayo Mhando alisema: "Walikuwa hawazungumzi sera bali walikuwa wanatukana. Kama ulikuwa unafuatilia matangazo yetu utajua ni namna gani walivyokuwa wakitukana".
Hata hivyo, Mhando alisema baada ya kuwasiliana nao na kuwakumbusha juu ya makubaliano hayo walirejesha matangazo hayo hewani. Katika hotuba yake alisema kumfunga Amatus Liyumba pekee yake siyo dawa ya kumaliza ufisadi nchini, bali viongozi hao ndiyo wanaotakiwa kufungwa.
Alisema wamemfunga Liyumba ili waonekane kwa wananchi kwamba wanapiga vita ufisadi. "Jamani hivi fedha zote zilizoliwa pale Benki Kuu ya Tanzania (BoT) ni Liyumba pekee yake aliyeziiba? Tunajua ametolewa kama mbuzi wa kafara," alisema Marando.
Source: Mwananchi and Marando Jangwani
Marando
"Tunajua Kikwete na edward Lowasa waliomba hela za uchaguzi kutoka kwa Mkapa akachote BOT"
My Take:
Hii Nchi inaliwa bila ya sisi kujua
Mtu anakaa madarakani kumbe ni mwizi? Kweli bado watanzania bado akili lala
Alipotakiwa kufafanua walikiukaje maadili hayo Mhando alisema: "Walikuwa hawazungumzi sera bali walikuwa wanatukana. Kama ulikuwa unafuatilia matangazo yetu utajua ni namna gani walivyokuwa wakitukana".
Hata hivyo, Mhando alisema baada ya kuwasiliana nao na kuwakumbusha juu ya makubaliano hayo walirejesha matangazo hayo hewani. Katika hotuba yake alisema kumfunga Amatus Liyumba pekee yake siyo dawa ya kumaliza ufisadi nchini, bali viongozi hao ndiyo wanaotakiwa kufungwa.
Alisema wamemfunga Liyumba ili waonekane kwa wananchi kwamba wanapiga vita ufisadi. "Jamani hivi fedha zote zilizoliwa pale Benki Kuu ya Tanzania (BoT) ni Liyumba pekee yake aliyeziiba? Tunajua ametolewa kama mbuzi wa kafara," alisema Marando.
Source: Mwananchi and Marando Jangwani
Marando
"Tunajua Kikwete na edward Lowasa waliomba hela za uchaguzi kutoka kwa Mkapa akachote BOT"
My Take:
Hii Nchi inaliwa bila ya sisi kujua
Mtu anakaa madarakani kumbe ni mwizi? Kweli bado watanzania bado akili lala