Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
15kg ndio kale kadogo?Leo nimepata mstuko gesi yangu nyumbani ilipoisha. Nikaenda dukani Oryx 15kg ni 55,000-. Tunakwenda wapi?
Eti tunaimbiwa siku zote tutunze misitu yetu! Misitu yetu my foot!
Waziri alikuja na mikwara akiwazuia wafanyabiashara kutopandisha Bei mpaka leoLeo nimepata mstuko gesi yangu nyumbani ilipoisha. Nikaenda dukani Oryx 15kg ni 55,000-. Tunakwenda wapi?
Eti tunaimbiwa siku zote tutunze misitu yetu! Misitu yetu my foot!
Hatuna gesi, gesi yote iliuzwaSijapata uelewa kwanini gas yetu nchini haitumiki, tunatumia gas Toka nje kwa matumizi ya kupikia.
Gas Toka nje control ya Bei ni ndogo kwa Serikali.
Fanyakazi,upate pesa,acha kulia lia.Leo nimepata mstuko gesi yangu nyumbani ilipoisha. Nikaenda dukani Oryx 15kg ni 55,000-. Tunakwenda wapi?
Eti tunaimbiwa siku zote tutunze misitu yetu! Misitu yetu my foot!
Leo nimepata mstuko gesi yangu nyumbani ilipoisha. Nikaenda dukani Oryx 15kg ni 55,000-. Tunakwenda wapi?
Eti tunaimbiwa siku zote tutunze misitu yetu! Misitu yetu my foot!
Gesi yenu ipi? Ile mliouza kwa hati ya dharura bungeni, usiku kwa usiku?Sijapata uelewa kwanini gas yetu nchini haitumiki, tunatumia gas Toka nje kwa matumizi ya kupikia.
Gas Toka nje control ya Bei ni ndogo kwa Serikali.
Sasa kama kodi zinaleta maendeleo mbona tunalipa kodi nyingi na bado tunaombaomba?Tulipe Kodi kwa maendeleo ya taifa letu,hata mabeberu misaada yanayotupatia inatokana na Kodi za Rai wao
Gas iliuzwa au ili hongwa zamani tusie hatuna gas mkuu, pale 77 mwaka jana niliwauliza, mbona mlisema mtafunga mabomba tupikie gas tulipie kama luku, wakabaki wanacheka cheka tu, yule naye sjui walimlisha pumba!Sijapata uelewa kwanini gas yetu nchini haitumiki, tunatumia gas Toka nje kwa matumizi ya kupikia.
Gas Toka nje control ya Bei ni ndogo kwa Serikali.
[emoji16] mama D hilo jina ha ha ngoja nimwite Mwl wangu wa biosSaitakuaje Omusolopagasi[emoji849]