Kumbe Google nao waongo tu

Kumbe Google nao waongo tu

karv

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2019
Posts
1,802
Reaction score
3,253
Jana baada ya mechi nafatilia Matokeo kwa njia ya Google sport wananiambia man u imeshinda.

Nimetoka nashangilia kumbe uhalisia shoka moja mbuyu chini
FB_IMG_16592956720799555.jpg
 
Wewe umetumia Tecno kugoogle , haya angalia vizur ni Nani alifunga upande wa man u , alaf angalia upande wa atletico wameonyesha nn
 
Back
Top Bottom