kumbe GS kweli ina consideration.

man of steel

JF-Expert Member
Joined
Jul 16, 2013
Posts
1,099
Reaction score
2,354
nimepitia majina ya selected candidates ya UDSM ni kweli GS imefanya yake mwanzoni nilikua nabisha humu humu jukwaani but leo nimeamini...hongera kwa ambao mmepata nafasi pale nadhani zile GPA tu za walochaguliwa zinajieleza.
 
nimepitia majina ya selected candidates ya UDSM ni kweli GS imefanya yake mwanzoni nilikua nabisha humu humu jukwaani but leo nimeamini...hongera kwa ambao mmepata nafasi pale nadhani zile GPA tu za walochaguliwa zinajieleza.

asante kwa kujua ilo
 
yah ndo maana wenye A flat huwa wana cuttoff points ya 15.5
 
Hivi mwaka wetu kulikuwa na one ya tatu kweli, manake kuna dem nimeona ana A flat kwenye EGM amechaguliwa udsm au sio wa mwaka huu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…