Kumbe hadi wanawake huwa mnapigana exile!!?

Socw

JF-Expert Member
Joined
Aug 27, 2016
Posts
1,329
Reaction score
2,644
nipo eneo moja tumepanga wanaume na wanawake...sasa kuna mademu wawili wamepanga chumba kimoja sasa mmoja amemleta bwana wake....ni wiki moja sasa....hii imemfanya huyu mwingine alale kwa demu mwingine ambaye anaishi pekeyake....kumbe na nyinyi mnapigana exile!!!?
 
hayakuhusu lkn
yananihusu....kwa sababu huyo mwingine mara kadhaa huwa anakujaga room kujikalisha wakati wanafanya yao hadi mchana...ananiboa
 
Huyo mwingine we ndo inabidi ukabe ...au we kibogoyo...................
 
Umekaa na Madada Mpaka umeanza kuiga tabia zao za kuchunguzana na umbea umbea
 
Huyo mwanaume anayekwenda kulala kwa mwanamke mwenye chumba cha kuchangia hana adabu, haya wala akili...
Wew ni mata.KO
ulitakaj kwamfano,so manzi yako akiishi na rafik yake no paying a visit huh?[emoji53]
 
Wew ni mata.KO
ulitakaj kwamfano,so manzi yako akiishi na rafik yake no paying a visit huh?[emoji53]
Unaweza kumtembelea lakini siyo kuangusha mbavu na kuvuruga mipango ya watu...siyo adabu... kama mnataka kulala mwanaume ingia mfukoni katafuteni sehemu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…