Kumbe Halotel ni CCM?

Kumbe Halotel ni CCM?

Restless Hustler

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2017
Posts
5,150
Reaction score
20,025
Halotel Ni CCM
Screenshot_20230101-162402.png
 
Meseji zimetumwa kwa kila mtandao chief Me sio Halotel natumia Tigo, zantel,Airtel na voda kote huko nimetumiwa
 
Hii nchi kupata maendeleo ni ndoto kama tutanguliza vyama mbele.
Kuna ile hotuba ya Nyerere inayohusu Serikali itofautishe na shughuli za chama. Watu wasikilize. Itawasaidia sana maana wamejisahau sana
 
Basi Mimi huu mwaka umeishakuwa mgumu Bora uishe tu..

Yaani kumbe Kuna watu mnatumiwa sms na raisi na hamsemi 🙄🙄
 
Back
Top Bottom