Kumbe hata kwetu haya yapo?

mhhh....hiyo nayo kali!! Sasa hapo ndo kinatokea nini? Sitaki kuamini kama ni kweli.......
 
mhhh....hiyo nayo kali!! Sasa hapo ndo kinatokea nini? Sitaki kuamini kama ni kweli.......

Hujui kinachoweza kutokea hapo? pumzi kupanda na kuhema juu juu na ni bora usiamini kama ni kweli we potezea tu...........
 
Its so weird,ridiculous and disgusting!
 
Sitaki kuamini kama haya yapo TZ!
Labda sio hapa Tanzania...Mh Shoshi una uhakika ni watz hao???

Labda ilikuwa Kenya jamani???!! Maana wenzetu wako mbele zaidi yetu kama wanavyodai wenyewe! Mbona makubwa haya!!!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…