Kabisa mkuu. Hawa CCM huwa wanajisahau sanaKwa hio ule usemi wa ya nini kugombania fito wakati nyumba tunayoijenga ni yetu unachukua nafasi yake
Au sio!?
Siku si nyingi wataitaka tu Hali inavyoenda huko mitandaoni wataitaka tuTuungane kudai katiba mpya
π π πKewani wana CCM siyo binadamu? Acheni roho mbaya. Kama wana CCM ni wanadamu basi lazima wapo watakaolalamika na watakaonyamaza hata kama wanaumia au kufaidi inategemea mtu yuko kundi gani.
π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π π π