Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
a very strong msg... MTU AKITAKA KUFANYA JABO OVU ANAKIMBILIA KWENYE CHAMA.Nimesikiliza huyu mzee kisha nimejiuliza hawa vijana wanao veshwa mashati ya kijani na kuukataa ukweli tuwaweke kundi gani?
Upungufu wa maarifa au tamaa mbele? Hawayaoni yanayo endelea au kwao ni potelea mbali?
Ana point, ila ndio kama hivyo hutowona hapaNimesikiliza huyu mzee kisha nimejiuliza hawa vijana wanaovishwa mashati ya kijani na kuukataa ukweli tuwaweke kundi gani?
Upungufu wa maarifa au tamaa mbele? Hawayaoni yanayo endelea au kwao ni potelea mbali?