King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
dogo unajua leo?au umebobea katika disco toto?...1.DJ BONIE LUV
2.DJ VENTURE
3.DJ MAKAY
NI BABA M1 NA MAMA M1.
Source:mkasi eatv na salama jbr
Kumbe hiko kipindi cha mikasi kinaelimisha??
dogo unajua leo?au umebobea katika disco toto?...
Haaaaaa nilikua sijui kabisa.
Mia mia jembe!ila dj hapo bonny mapenzi hao wengine maradio presenter sema kibongobongo ndo vile tena!
Sio unakuta wana familia,baba mkulima,mama muuza mitumba,kaka mpiga picha,dada mwigizaji!ful kachumbari.
Fikiri kabla hujaandika,hao usisahau wana kaka na dadaaka baba kauzu mama ng'onda aka mama anauza pombe baba anauza bangi,brother mwizi,sister anauza **** balaaa.
Fikiri kabla hujaandika,hao usisahau wana kaka na dada