Kumbe Hawa Ma-DJs ni ndugu.

King Kong III

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2010
Posts
56,205
Reaction score
79,515
1.DJ BONIE LUV
2.DJ VENTURE
3.DJ MAKAY

NI BABA M1 NA MAMA M1.

Source:mkasi eatv na salama jbr
 
Kumbe hiko kipindi cha mikasi kinaelimisha??
 
Kumbe hiko kipindi cha mikasi kinaelimisha??

Teh teh Ndibalema unajuwa kuwachokonoa watu...
Kuna mtu alianzisha thread hapa akijaribu kuhoji uelimishaji wa kipindi hicho.
Sasa leo limemshuka
 
mie pia sikujua kama ni ndugu. Infact i was happy to know that they are brothers alafu wana interest zinafanana!They are all good! Keep it up guys!
 
Sio unakuta wana familia,baba mkulima,mama muuza mitumba,kaka mpiga picha,dada mwigizaji!ful kachumbari.
 
Sio unakuta wana familia,baba mkulima,mama muuza mitumba,kaka mpiga picha,dada mwigizaji!ful kachumbari.

aka baba kauzu mama ng'onda aka mama anauza pombe baba anauza bangi,brother mwizi,sister anauza **** balaaa.
 
Fikiri kabla hujaandika,hao usisahau wana kaka na dada

Mkuu sijakusoma maana hyo post yangu haiusu kina bonnie luv na ndugu zake bali nilikua nasapoti idea ya member mwenzangu,ngoja nirudishe kwako kwamba fikiri kabla ujachangia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…