Kumbe Hayati Rais Magufuli alikuwa Mwamba kweli kweli!! Taifa hili litakukumbuka daima!!!

Yeye ndio alisababisha matatizo tuliyonayo leo, umwamba wake ndio huo.
 
Unataka awe na nyie wapi? Mama hashughuliki na misukule ya Jiwe wala wapuuzi.
usilete mihemuko ya mahaba na mama.tunachoangalia je yuko kwenye right track au kapinda tayari.kama bwawa la mwal.nyrere tayar limeanza kutengenezewa mazngra ya kusuasua na yy yupo,na kpnd mradi unaanza alikuwepo je imani yetu kwake itakuwaje!!, Wazr wake mwenyewe ndo hivyo empty headed!!
 
Yupo ndio kwenye right track,kwani Tzn Ili isonge ni lazima hilo Bwawa? Nani kasema?

In fact linatakiwa liende mdogodogo kwa sababu hata kuliharakisha bado ni ujinga ule ule utakaoharibiwa na ukame.

Chapa Kazi mama usiwasikilize misukule ya mwendazake 👇









 
usisahau kumkumbusha Kama anania ya kurudi 2025 Basi ,asisahau watz wa Sasa sio wa offer na ngonjera.au laa labda awe Hana mpango wa kurudi 2025
 
usisahau kumkumbusha Kama anania ya kurudi 2025 Basi ,asisahau watz wa Sasa sio wa offer na ngonjera.au laa labda awe Hana mpango wa kurudi 2025
Sasa mtachagua chama gani? Mgombea atakuwa nani? Yule anayepakatwa Ulaya au? 😂😂
 
Viongozi wenye njaa wameingia madarakani na huku mtaani ni kugumu sana! Hivyo hizo ni kauli za kujipendekeza kutafutia ugali ili mtu asitumbuliwe! Hivyo tujiandae kusikia kauli za Mama katoa, Rais Samoa katoa ......, kwa muda mrefu ujao!
 
''Yaani Zitto Kabwe kukosa Ubunge na kukosa mishahara na posho za kibunge kwa mwaka mmoja tu umekuwa " Kichwa maji" hivi na kuanza kuwa kuwadi wa January Makamba kwenye matatizo ya kutengeneza ya Umeme" !!

Hizi ndizo point zako?
Kijana, jaribu kujenga hoja, achana na mipasho.
 
Alituharibia sana nchi yetu. Tushukuru mungu kutuondolea kwa kutumia Corona
 
Uharibifu wa kiutawala aliofanya Mwl John Magufuli unamgharimu pakubwa sana Secretary Samia suluhu hasan.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Exactly kosa kubwa ni hilo la kupuuza mradi wa gesi wakati bomba tayari liko Dar, yaani unatekekeza gesi ambayo tayari imechimbwa na bomba liko tayari unarukia umeme wa maji? Tena katika kipindi ambacho dunia inalia na tatizo la climate change??
 
Kinachokera ni hawa wachumia tumbo badala kuleta suluhisho wao wanamlaumu Magufuli na tuhuma za uongo na kijinga kabisa!
Siluhisho la umeme kipindi hiki cha ukame mkali ni gesi tuuu, huo mradi wa Nyerere usimame halafu nguvu ziende kufufua mitambo yote ya umeme wa gesi.
 
Alikuta gesi ishapigwa mnada kwa hati za dharura bungeni na gesi ingezalishwa bei yake tusingeiweza! Tafuta taarifa !
Hizo ni porojo zake kama zile za bandari ya Bagamoyo ambazo wenzake wamesema wazi (waziri Mwambe) alikuwa muongo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…