Kumbe huu wimbo unaitwa walk of life mimi nilidhani unaitwa 'wuuhuu'

Kumbe huu wimbo unaitwa walk of life mimi nilidhani unaitwa 'wuuhuu'

Maghayo

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2014
Posts
20,307
Reaction score
47,210
Mzuka wanajamvi!

Nilikuwaga nausikiaga kwenye redio sana kipindi cha nyuma. Muda wote huo mimi nilidhani unaitwa 'wuu-huu' kumbe unaitwa walk of life umeimbwa na kundi flani Dire Straight. Nimeshtukizia tu nauona youtube usiku huu. Radio one walikuwaga wanauchezaga sana.
 
Mzuka wanajamvi!

Nilikuwaga nausikiaga kwenye redio sana kipindi cha nyuma. Muda wote huo mimi nilidhani unaitwa 'wuu-huu' kumbe unaitwa walk of life umeimbwa na kundi flani Dire Straight. Nimeshtukizia tu nauona youtube usiku huu. Radio one walikuwaga wanauchezaga sana.
Sijawahi kujiuliza jina lake licha ya kuusikia mara nyingi
 
Mzuka wanajamvi!

Nilikuwaga nausikiaga kwenye redio sana kipindi cha nyuma. Muda wote huo mimi nilidhani unaitwa 'wuu-huu' kumbe unaitwa walk of life umeimbwa na kundi flani Dire Straight. Nimeshtukizia tu nauona youtube usiku huu. Radio one walikuwaga wanauchezaga sana.

Huwa naupenda sana huu wimbo. Una video yake nyingine, humo watu wana walk kweli
 
Mzuka wanajamvi!

Nilikuwaga nausikiaga kwenye redio sana kipindi cha nyuma. Muda wote huo mimi nilidhani unaitwa 'wuu-huu' kumbe unaitwa walk of life umeimbwa na kundi flani Dire Straight. Nimeshtukizia tu nauona youtube usiku huu. Radio one walikuwaga wanauchezaga sana.

Nilikuwa nao siku za nyuma pamoja na nyimbo zao zingine kama Romeo and Juliet n.k
Dire Straits ni bendi nzuri sana kwa wanaopenda muziki wa aina hiyo,walitesa miaka ya 80na 90 wakiongozwa na Mark Nofler lead singer wao na mpinga gitaa la solo,walishawahi kuja Afrika katika nchi ya Swaziland wakiwa wamealikwa na mfalme wa nchi hiyo kwenye sherehe ya birthday yake.
 
Mzuka wanajamvi!

Nilikuwaga nausikiaga kwenye redio sana kipindi cha nyuma. Muda wote huo mimi nilidhani unaitwa 'wuu-huu' kumbe unaitwa walk of life umeimbwa na kundi flani Dire Straight. Nimeshtukizia tu nauona youtube usiku huu. Radio one walikuwaga wanauchezaga sana.

Hakika!!
Unaitwa Wuu huuu 💃💃
 
Mgerasi baridi limekupiga mpaka hufuatilii mashairi. Rudi Chuga uuze mirungi
 
Hahaahaahaa
Wabongo kwa kuimba kiswanglish hatujambo nimekumbuka
Leonel Richie na song lake All night long pale anaimba
Jambo lete siyo moja oooh Jambo Jambo we upate lako moja oooh jambola!
Kumbe hata hakuimbaga hivyo na kila mbongo aliimba kile kibwagizo anavyojua yeye Aisee

Ukiwa bongo hakuna kitu inashindikana labda ukaze kichwa tu
😂😂😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom