Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 52,812
- 71,392
Anaitwa Pretty Kind..kapigwa BAN ya miezi sita kushiriki muziki na sanaa na Mh. naibu waziri wa Sanaa /michezoNani huyu mkuu?
Ni nani huyu?
Asante kwa kunipenda mkuuNakupenda cjajojo
Plus 360 editing.Hahhha make up imekuwa mkombozi wa wadada wengi mjini.... yani hivyo vitu visingekuwepo na nywele bandia, tusingekuwa tunatesana hivi
Mkuu mbona kama wizara imekengeuka au kuna regulation mpya zinaipa wizara mamlaka kwan hapa wapo ultra vias au mie ndio celewiAnaitwa Pretty Kind..kapigwa BAN ya miezi sita kushiriki muziki na sanaa na Mh. naibu waziri wa Sanaa /michezo
Naona wanafuata agizo la mkuu wa nchi alikemea sana haya mambo ya nusu utupuMkuu mbona kama wizara imekengeuka au kuna regulation mpya zinaipa wizara mamlaka kwan hapa wapo ultra vias au mie ndio celewi
Aah kumbe ndiye huyu aliyepigwa ban na Juliana Shonza!Anaitwa Pretty Kind..kapigwa BAN ya miezi sita kushiriki muziki na sanaa na Mh. naibu waziri wa Sanaa /michezo
Yes ndio yeyeAah kumbe ndiye huyu aliyepigwa ban na Juliana Shonza!
Sio Gigy MonkeyNdo aliyefungiwa na basata 6 month!
Nimesahau jina,sijui ndo sanchoka
I hate make up on women.
Msalimie anko JAsante kwa kunipenda mkuu
Siyo aina ya simu ni aina ya app. kuna macamera yao wanadownload na kuna maphoto editor humo balaa, hata kama hauna miwani inakuvalisha miwani.Kipindi hiki uzuri wa mwanamke unategemea zaidi ni aina gani ya simu anayoitumia.
No ,sio yeyeSio Gigy Monkey