Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
Sijui lile sakata la kumdai vyeti tulianzishe upyaaaaaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Hivi kweli msomi uliyekwenda shule na kuelimika unashindwa kuandika vizuri kweli????
Hilo neno "nasbili" ni kithibitisho tosha cha ukomo wa elimu yake .
Hapo ilibidi aandike "ninasubiri" na sio hiyo "nasbili" [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Hivi kweli msomi uliyekwenda shule na kuelimika unashindwa kuandika vizuri kweli????
Hilo neno "nasbili" ni kithibitisho tosha cha ukomo wa elimu yake .
Hapo ilibidi aandike "ninasubiri" na sio hiyo "nasbili" [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].