Chinga One
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 11,469
- 12,391
Nadhani kwa picha hii kila mmoja atakubaliana na mimi chanzo cha lipsi denda za Dangote na Prince wake[emoji1] [emoji1] ni huyu bi mdashiView attachment 654648
Hivi kweli yule jamaa ni baba wa kambo wa mondi?Nadhani kwa picha hii kila mmoja atakubaliana na mimi chanzo cha lipsi denda za Dangote na Prince wake[emoji1] [emoji1] ni huyu bi mdashiView attachment 654648
Uko kijiji gani? Mama anayejiheshimu hawezi kuweka mambo yake kwenye social media hana lolote huyu bi mkubwa though ni maisha yake binafsi but kwa kuwa ameamua kujifanya mtu wa mitandaoni wacha na sisi wa mitandaoni tumpandie...Mama WA mwenzwnu pia haipendez,je mama ako angekuwa anaziakiwa hiv ungefurah
Namuheshimu sana dangote,but kwa kwel hpa kwa mama ake avumilie tu ndo haki ilivyo..Huyu mama nataka nimkoment ila naogopa ntatenda dhambi...
Heshima nnayompa Chibu ni kubwa.
Mama ni zaidi ya kuzaa na kuitwa Bibi, Matendo na maadili yake hayampi nguvu ya heshima ya Mama!Mama WA mwenzwnu pia haipendez,je mama ako angekuwa anaziakiwa hiv ungefurah