Kumbe huyu ndio "Mwewe" wa Clouds Tv

Kumbe huyu ndio "Mwewe" wa Clouds Tv

barafu

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2013
Posts
6,739
Reaction score
32,880
image.jpeg
image.jpeg


Kwenye taarifa ya Habari Clouds Tv huwa kuna segment ya mtu anajiita "Mwewe",huyu kazi yake ni kuibua kero na mambo mbalimbali katika jamii na kuyarusha kwa kichagizo na sauti ya umaridadi

Mbwembwe zote zile za "Jamani mwewe anaulizaaaa huu ni uungwana?".Huyu mwewe amesaidia kero nyingi ndani ya Dar kupatiwa ufumbuzi
 
Huyo jamaa anaitwa Salehe Masoud ni miongoni mwa wapiga Picha mahiri za televisheni, umahiri wake ulianza kitambo tangu akiwa ITV,Mlimani Tv na sasa Mawingu, alishanyakua tuzo lukuki za uandishi zikiwemo ruzuku za Danish Embassy ktk investigative journalism baada ya kuibua 'untold stories' za kisiwa cha Mafia...ni jamaa mchapakazi sana
 
Natazamaga mwewe tu halafu nabadili channel...

Huyu jamaa ni mbunifu
 
View attachment 343893 View attachment 343894

Kwenye taarifa ya Habari Clouds Tv huwa kuna segment ya mtu anajiita "Mwewe",huyu kazi yake ni kuibua kero na mambo mbalimbali katika jamii na kuyarusha kwa kichagizo na sauti ya umaridadi

Mbwembwe zote zile za "Jamani mwewe anaulizaaaa huu ni uungwana?".Huyu mwewe amesaidia kero nyingi ndani ya Dar kupatiwa ufumbuzi


na yy mwewe kaotewa.
 
ukisikia mwewe kwenye taarifa ya habari clouds ujue taarifa imeisha.

waboreshe taarifa yao ya habari ni fupi mno haina taarifa nyingi.
 
Back
Top Bottom