Kumbe ilikuwa ya mama mkwe

Unavyonitajia uwanja wa sofa na zebra bar yaani kama naona vichochoro vya kwa azizi ally i.e pale zebra kiwanja Cha wikiend alafu uwanja wa sofa apo Kuna bar zinafunguliwa jioni watu uwanja unakua guest bubu [emoji1][emoji1][emoji1]
 
Hahaha....

Daddy me i want to party

Daddy me i want to party

Daddy me i want to party

Daddy me i want to party
哈哈哈....

爸爸我想参加派对

爸爸我想参加派对

爸爸我想参加派对

爸爸我想参加派对
 
Unavyonitajia uwanja wa sofa na zebra bar yaani kama naona vichochoro vya kwa azizi ally i.e pale zebra kiwanja Cha wikiend alafu uwanja wa sofa apo Kuna bar zinafunguliwa jioni watu uwanja unakua guest bubu [emoji1][emoji1][emoji1]
Jioni ulizungukwa na vi pub.. Yale maisha yalikuwa poa sana nitakuja na simulizi yake nyingine
 
Um
Umeamua kuchekeshaaa ama ni kweli?
 
Bado yuko huwa namtumiatumia chochote.. Mama mkwe rafiki.. Kuna siku alikuwa katoa lock akanibeep nikampigia akasema.. Hebu nitumie ya mbege kwanza mkwewangu mkwezi.. Maana siku ile ulinikwea.. Mimi nakuita mkwezi [emoji23]
Na kwa kweli ulimkwea, japo pasina kujua au kudhamiria
 
Wewe mzee....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…