johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Kuna Mijadala unaendelea hapa Citizen TV kuhusu uchaguzi wa Mwenyekiti wa AUC
Mtaalam mmoja anasema ilishapendekezwa Dr Kikwete wa Tanzania aongoze kamisheni hiyo endapo wagombea wangeshindwa kupata Kura 33
Na Hii ingewezekana kama Raila angekomaa
Mjadala unaendelea 😀
Kikwete Oyeee
Mtaalam mmoja anasema ilishapendekezwa Dr Kikwete wa Tanzania aongoze kamisheni hiyo endapo wagombea wangeshindwa kupata Kura 33
Na Hii ingewezekana kama Raila angekomaa
Mjadala unaendelea 😀
Kikwete Oyeee