Kumbe jf kila mtu ni mkuu

shamp

JF-Expert Member
Joined
Jan 22, 2017
Posts
225
Reaction score
215
Kweli nimeamin humu jf hakuna masikin kila mtu ni tajiri watu wanajinadi sana sa cjui na mm nijifanye matawi saana ili tuende sawa mana kila mtu anamwaga sifa ya tumilion milion imebak kawaida nimeipenda sana jf na mimi lazima niwe kama wao au mnasemaje wakuu
 
Hahahaah Umenikumbusha kitu nilichokutana nacho siku nilipokutana na mwanajf mmoja aliyekuwa anajifanya matawi humu jukwaani
 
Mkuu ulikuwa hujui hilo
 
Japan Airport wameweka kioo kubwa ukisimama mbele yake inataja jina lako na nchi unayo elekea.
Mkenya mwenzetu alisimama mbele ya kioo akaambiwa jina lake Awadhi Mkufu Mbaruku na ndege yake yaelekea Kenya.
Awadhi alishangaa na hio kioo na akataka kuhakikisha kuwa ni kweli na akaenda kuvua koti lake akavaa kanzu na kofia na miwani na akarudi tena mbele ya kioo na akaambiwa tena kuwa jina lake ni Awadhi Mkufu Mbaruku na ndege yake yaelekea Kenya.
Awadhi hakuamini na akaenda tena kuvua kanzu na akavaa night dress na akatia rangi ya mdomo na akatafuna ubani na kulegeze mwilli na akarudi tena kwenye hicho kioo na akaambiwa
Jina lako Awadhi Mkufu Mbaruku na ndege yako ya kuelekea Kenya imesharuka na wewe bado uko mbele yangu unafanya usenge.
 
Inatufundisha nn hii
 
Wewe Mzee mbona hatari saaana?.Wajukuu zako tunakuona ujue???.
 
mbona kawaida kwa wanadamu kufanya hvyo kujinadi ni kitu cha kawaida sana so kisikuumize hata kidogo
 
Bujibuji bhana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…