Kumbe JF Kuna wanawake?

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Me Mara ya Kwanza kabisa kabla sijajiunga jf nilikuwa nikisoma Kama guest nikawa najua wote humu ndani ni wanaume nikawa nikifikiria naona Ni ngumu mwanamke awe na ID eti ya JF na hata ID Nyingine ambazo za kike nikawa naamini itakuwa Ni wanaume tu wana act kujifanya wanawake wazingue watu.nimekuja kuanza kuamini juzi juzi Kama jf Kuna wadada tena wakali kinyama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakali kinyama..
Vipi washakung'ata nini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…