ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Mimi ni shahidi
[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]Mkuu dark Angel umeadimiika
[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]Mkuu dark Angel umeadimiika
Sent from my SM-G532F using Tapatalk
Mi kila nikiona comment yako yoyote. Nafarijika Sana.[emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7]
Hii comment aione Chizi MaarifaWewe ushaingia king tayar, kuna mwenzako huko kapigwa mia mbili alfu, nae anadhani alomkopesha ni mwanamke
Me Mara ya Kwanza kabisa kabla sijajiunga jf nilikuwa nikisoma Kama guest nikawa najua wote humu ndani ni wanaume nikawa nikifikiria naona Ni ngumu mwanamke awe na ID eti ya JF na hata ID Nyingine ambazo za kike nikawa naamini itakuwa Ni wanaume tu wana act kujifanya wanawake wazingue watu.nimekuja kuanza kuamini juzi juzi Kama jf Kuna wadada tena wakali kinyama
Sent using Jamii Forums mobile app
Endelea kufarijika mkuu
Hahaha hahaha
Hahhahah kwahiyo huyo ndio sisiwapo ndio
View attachment 979623