Kumbe kampuni 'za Mkwere' zinafanya clean business?

Usedcountrynewpipo

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2012
Posts
3,636
Reaction score
2,728
Lilipotokea seke seke la kukwepa ushuru wa makontena bandarini, wengi wetu tulitegemea kampuni ambazo zinahusiswha na mtoto wa mkulu zingekuwa implicated kwenye hili sakata. Badala yake tunasikia makampuni tofauti kabisa ambayo hayajawahi kuwa na connection na mtoto huyo wa mkulu.

Ndio nikashangaa kumbe jamii inaweza kuchafua taswira ya mtu kwa vijineno neno tu vizivyokuwa na uthibitisho. Hongera Mkwere angalau kwa hili la kampuni ambazo umehusishwa nazo kutokuwepo kwenye kashfa chafu ya kukwepa kodi...
 
huna uliloandika zaidi ya ushabiki, nani kamtaja kwenye kashfa yeyote? pili kuna njia nyingi tu za kukwepa/kulipa kidogo/kulipa kwa majina tofauti. hakuna mchafu mpaka akamatwe!!! miezi 3 hapo nyuma hatukuyajua haya ya wakwepa kodi! msafishe au mchafue hatutii neno mpaka mtu atiwe hatiani/akamatwe. 'so fa so gud'
 
Nyumba yake pale Mikocheni sio eneo la wazi kweli maana nimeona picha mahala ni kama amevamia.
 

Kwanza unaweza tutajia hizo kampuni ili nasisi tuzijue tusiendeleze majungu? Pili watanzania sisi ukiondoa ufisadi uliopo ila tunamajungu sana, hatufanyikazi kwa bidii ila mjungu tu hasa flani akipata
 
Wewe subiri Magufuli ana mwezi moja madarakani. Kama kampuni za mwere zilikwepa kodi haponi
 
Nyumba yake pale Mikocheni sio eneo la wazi kweli maana nimeona picha mahala ni kama amevamia.
nimeishi pale pembeni yake toka 98 na ile nyumba ilikuepo yeye amekuja pale 2007 ... So alojenga hakua na sidhani kama ni enzi ka wazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…