Kumbe Kanye West ni Shemeji !!!??

Utakuwa umesoma habari hii u-turn, vipi atoke nae kwenye keshamdiss kile kibabu chake ambacho hakina meno?
Lazima kaitoa u-turn, Odemba nae aliolewa na mudhungu?
 
Mbona kwenye hii picha kanye haonekani kuwa hata na muda na odemba,yaani ni kama ametokea kwa bahati mbaya.

Odemba anaokana yupo kwenye queue ya kusubiria kupata taswira mnato ndio maana anajichekesha tu kweli usuper star kazi
 
jamani napenda black guys! uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii hata awe na nini mzungu ni big NO kwangu, yaani ikiwezekana awe mweusiiiii tiiiiii kama mume wa kimora lee! yaani nadhani ningekewa sudan kungenifaa sana,!
 
Dada amejitahidi sana kuuweka mwili wake vizuri.





 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…